Recent content by ntamwangah

  1. N

    Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

    Wana JamiiForums, Kama mjuavyo mleta maendeleo katika Nchi yetu nzuri ya Tanzania kwanza ni Mimi mwenyewe binafsi,hivyo neamua kujiajiri katika kilimo has a kilimo cha Nyanya,ninaomba elimu kwa wataalamu na wabobezi ktk Nyanya, mnieleweshe hatua za uandaaji wa kitalu cha kuotesha mbegu kuanzia...
  2. N

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Msaada number yako tukikwama tukutafte
  3. N

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Mzee msaada number zako nataka nilime nyanya mwezi huu
  4. N

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Kk number zako pls
  5. N

    KUTOKA BUNGENI: Mwanafunzi mmoja adaiwa kufariki nchini India

    Waliolazwa siyo wanne ndugu,ni watatu na wanne ndiyo aliyedharirishwa,,
  6. N

    Mnyika Mbona upo kimya bungeni

    Karudi jana jioni bungeni hakuwepo,kwa taarifa nilizozipata alikuwa anaumwa.
  7. N

    KUTOKA BUNGENI: Mwanafunzi mmoja adaiwa kufariki nchini India

    Kumetokea na tukio baya sana na la kusikitisha nchini India kwa msichana wa kitanzania kuvuliwa nguo na kudharirishwa mtaani kwa kumtembeza wakiw wamemvua nguo,na wengne watatu wenzake wamejeruhiwa na kulazwa hospital,lkn bahati mbaya zaidi zilizofika asubuhi ya leo ni kwamba kuna mtanzania...
  8. N

    Rais Magufuli alakiwa Arusha, akiwa ndani ya nguo za Kijeshi

    Yeye ni amiri jeshi mkuu wa majeshi,hvyo ndiye mwenye cheo kuliko wote jeshini,sasa kwanini asivae wkt yy jeshi lipo chini yke
  9. N

    Urais wa Zitto mwaka 2020

    Hakika miongoni mwa watu ambao watakaa kwa kujutia ni kaka yangu Zubery Zito Kabwe, Zito kaponzwa na tamaa na kujifanya yeye ndo yeye mpaka vikamfanya ajione hakuna mwingine zaidi yake na kumfanya apoteze uvumilivu. Zito angekuwa amevumilia na kuwa na subira, sasa tungekuwa tunazungumzia urais...
  10. N

    Bunge kuanza rasmi tarehe 26/01/2016

    Wadau,bunge limekalibia na hii inawahusu wafuasi na wanachama wa ukawa,ukawa bado ipo vzr na ina ushirikiano wa kutosha na inazidi kuimarika kila uchwao,lkn ktk huu muungano bado sijaona faida kwa nccr na nld,labda tusubiri bungeni lkn wakiendelea na kauli mbiu ya wengi wape basi hawatafaidika...
  11. N

    Kubenea na Zitto uso kwa uso ndani ya Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii

    Wote wapo vzr sana na itakuwa kamati ya mfano
  12. N

    Mbunge wa Arusha Mjini, Visingizio vimekwisha, siasa za kishabiki zinatugharimu

    Binafsi namkubaki sana lema,lkn kaiharibu arusha kwa vurugu zake kaharibu utalii,sasa kwakuwa jiji wanaongoza wao basi bila shaka watakekebisha mengi mabaya yaliyopita,dogo nasari yupo vzr sana na atakuja kuwa pazuri sana baadaye
  13. N

    Shule Dar yatoza ada ya shilingi 60 milioni!

    Ni haki coz naamini wengi wasomao si watanzania
Back
Top Bottom