Wana JamiiForums,
Kama mjuavyo mleta maendeleo katika Nchi yetu nzuri ya Tanzania kwanza ni Mimi mwenyewe binafsi,hivyo neamua kujiajiri katika kilimo has a kilimo cha Nyanya,ninaomba elimu kwa wataalamu na wabobezi ktk Nyanya, mnieleweshe hatua za uandaaji wa kitalu cha kuotesha mbegu kuanzia...
Kumetokea na tukio baya sana na la kusikitisha nchini India kwa msichana wa kitanzania kuvuliwa nguo na kudharirishwa mtaani kwa kumtembeza wakiw wamemvua nguo,na wengne watatu wenzake wamejeruhiwa na kulazwa hospital,lkn bahati mbaya zaidi zilizofika asubuhi ya leo ni kwamba kuna mtanzania...
Hakika miongoni mwa watu ambao watakaa kwa kujutia ni kaka yangu Zubery Zito Kabwe, Zito kaponzwa na tamaa na kujifanya yeye ndo yeye mpaka vikamfanya ajione hakuna mwingine zaidi yake na kumfanya apoteze uvumilivu.
Zito angekuwa amevumilia na kuwa na subira, sasa tungekuwa tunazungumzia urais...
Wadau,bunge limekalibia na hii inawahusu wafuasi na wanachama wa ukawa,ukawa bado ipo vzr na ina ushirikiano wa kutosha na inazidi kuimarika kila uchwao,lkn ktk huu muungano bado sijaona faida kwa nccr na nld,labda tusubiri bungeni lkn wakiendelea na kauli mbiu ya wengi wape basi hawatafaidika...
Binafsi namkubaki sana lema,lkn kaiharibu arusha kwa vurugu zake kaharibu utalii,sasa kwakuwa jiji wanaongoza wao basi bila shaka watakekebisha mengi mabaya yaliyopita,dogo nasari yupo vzr sana na atakuja kuwa pazuri sana baadaye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.