Mnyika Mbona upo kimya bungeni

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Wakuu habari.

Nikiwa mkazi wa Kibamba nasikitika sana kutosikia sauti ya mbunge wangu wa kibamba John Mnyika.

Sijaweza hatamuona ndani ya bunge, au hata kusikia kachangia chochote bungeni.
Tukiachilia hayo pia sijapata kusikia sauti yake nje bunge yani hata kwenye chama chetu.

Naomba mwenye taarifa sahihi za kijana huyu atufahamishe tafadhali
 
Kaachana na mwanamke aliyekuwa anaishi naye, atakuwa na stress za kuachwa achwa. Maana huyu ni wa tano sasa anaondoka na wote wana watoto.
 
Wakuu habari.

Nikiwa mkazi wa Kibamba nasikitika sana kutosikia sauti ya mbunge wangu wa kibamba John Mnyika.

Sijaweza hatamuona ndani ya bunge, au hata kusikia kachangia chochote bungeni.
Tukiachilia hayo pia sijapata kusikia sauti yake nje bunge yani hata kwenye chama chetu.

Naomba mwenye taarifa sahihi za kijana huyu atufahamishe tafadhali

Wako wabunge 378 labda hajapata nafasi, mbona wale wa upande wa pili hutupi mrejesho
 
Wako wabunge 378 labda hajapata nafasi, mbona wale wa upande wa pili hutupi mrejesho

Bunge lililopita mh Mnyika ndo mbunge aliyeongoza kwa michango mingi ndo maana watu wanataka kujua kwani kuna ubaya gani?
 
Kaachana na mwanamke aliyekuwa anaishi naye, atakuwa na stress za kuachwa achwa. Maana huyu ni wa tano sasa anaondoka na wote wana watoto.
Tarifa toka kwa wanawake zake wanasema jamaa hajiwezi kabisa kwahiyo hawezi kuwafikisha hata round moja pole yake anaendelea kuisoma.
 
Bunge lililopita mh Mnyika ndo mbunge aliyeongoza kwa michango mingi

Aliongoza kwa michango mingi bungeni lakini jimbo lake lilikuwa hoi bin taabani.Hivi wana ubungo walikuwa wamemtuma akachangie michango bungeni au alete maendeleo kwenye jimbo lake? Kama ataendeleza ile tabia jimbo la Kibamba wajiandae miaka mitano itaisha jimbo likiwa hoi halina maendeleo yoyote.
 
Mi mwenyewe nilishangaa jana wakati Bulaya alipouliza swali la nyongeza bungeni kwa niaba ya Mnyika. Nadhani kuna tatizo.

Kwa mataifa ambayo yameendelea tulitakiwa tuwe na taarifa za mbunge wetu kwa sababu anawajibika kwetu, maana hayuko kazini tulikomwajiri sisi.

Ila sasa kwa nchi yetu tunabaki ku-guess guess tu.
 
Back
Top Bottom