Recent content by NTAMBIRWEKI

  1. N

    Wasifu wa Agnes Marwa, Mbunge wa CCM aliyekataa Bunge Live

    mbona shule tofauti? Nyaibara sec/Kenton H/s! kwa ngazi 1 ya elimu
  2. N

    Hakuwa na sifa za kuingia chuo kikuu, akaingia kijanja mwaka wa pili kasimamishwa

    kwa nin aliomba course ambayo hakuwa na vigezo? TCU walimpitishaje au ndo maelekezo ktoka ngazi za juu? it is a paradox.
  3. N

    Nimechoka kusubiri ajira za walimu

    Dah! mapema mwaka huu? Hiv mhJafo anafaham maana ya mapema? Afu watu wengine wanapenda sifa eti mlitumia vibaya boom, hivi unajua watu wote wanapata asalimia mia? Je, unajua kuwa kuja kupata boom unakuwa una madeni lukuki, na baada ya boom la kwanza kwa linalofuatia hucheleweshwa sana hadi...
  4. N

    Mbunge wa CCM Viti Maalumu ataka kulia akipinga Bunge kuonyeshwa "Live"

    hao wanafiki tu coz kila ngoma wanacheza, leo serikali ikisema bunge lioneshwe live hawawezi kupinga kwa hoja hizo hizo mfu. wamejigeuza watetea serikali kwa kujikomba. uzuri JPM anawaona wale waliokuwa miiba enzi za JK na wale wapiga makofi na vifijo pamoja na kuzomea wameishia kusugua benchi...
  5. N

    Karibuni Chama kipya cha Siasa - Arusha Declaration Alliance

    kwa nini kuwe na utitiri wa vyama? si muungane na wengine ktetea taifa? transprt fare ni kiduchu kwa wa far, kubwa ka wa karibu, tafakari upya hii fare
  6. N

    Wako wapi hawa?

    watapatikana tu
  7. N

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kwanza nikupongeze kwa jitihada zako za utumbuaji majipu ambapo baadhi ya watu wameendelea kuhoji na kuzikosoa. Binafsi nimefarijishwa na utumbuaji huo kwa kuwa kilio chetu hasa watoto wa wakulima kilikuwa hilo genge la mafisadi. Mh.Rais, nikuombe sana kwa utashi wako kabisa na kwa dhamiri yako...
Back
Top Bottom