Nami leo nitie neno hapa,,,,katiba yetu haizungumzii mambo ya dini. Eti katika nafasi flani au uongozi swala la dini lizingatiwe wala ukanda wala ukabila. Haya mambo jamii yetu ikianza kuyazingatia tunapokwenda tunaenda kuligawa taifa. Mtu anayeona teuzi au ungozi wa nchi akaanza kugikiria...
Rausi wetu aliona mbali sana. Alisema kuhusu fumigation watu wakasema baadae tukasikia WHO wakatoa kauli iliyoonesha kuunga mkono hoja ya raisi wetu. Leo hii tunasikia jilani nae anaamua kusitisha lockdown kabla ya ugonjwa kuisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana ya kuoa nikuwa uwe nayo karibu muda wowote ukihitaji unapata. Sasa ninyi wanaume ambao unashindwa kupiga mambo kila siku ndio ninyi mnaupungufu wa mnegu za kiume. Mm kila siku lazima nipate angalau kimoja jioni wakati wa kulala na asubuhi kabla sijaenda kazini. Na ukifika muda jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.