Recent content by Nsumbanzunya

  1. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo serengeti mi nije sengerema niPM
  2. N

    Natafuta kiwanja Mwanza

    Natafuta kiwanja mwanza,maeneo ya kamanga (ng'ambo upande waSengerema.likipatikana hata shanba nachukua.Atakaekuwa tayari anicheki no 0783 881 828
  3. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo serengeti mi nije Sengerema idara s/msingi no 0783 881828
  4. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Serengeti mjini mi nije Nyamagana-Mwanza au Ilemela-idara ya msingi kama uko tayari nichek 0783881828
  5. N

    Tume ya Utumishi wa Walimu

    Ila kifupi ile nimeiona kama siasa tu kupumguza nguvu ya migomo ya walimu kwa kuweka madaraka makubwa kwaTSC kwa kuiondoa TSD na kuondoa lawama kubwa kwa serikali kwani serikali atabaki kama mwajiri na TSC kuwa na mamlaka makubwa kwa walim hivyo zile za kuandamana kwa mkurugenzi zitakuwa hazipo...
  6. N

    Tume ya Utumishi wa Walimu

    Moja ya vitu ambavyo serikari ya awamu ya nne imemaliza navyo ni kuunda Tume ya Utumishi ya Walimu lengo kuu ni kutatua matatizo ya walimu na kuunda sheria na kanuni za utumishi katika kada ya ualimu. Lakini yote kwa yote sijapata kuielewa matumizi ya tume hii na kivipi itamaliza matatizo ya...
  7. N

    Liverpool TV na Real Madrid TV kwenye king'amuzi cha Azam

    Siku wakiweka MUTV nisitueni ninunue na mimi maana hizo walaaaa
  8. N

    Bob Marley's 10 Greatest Protest Songs That Still Ring True Today

    The best ryme comes on the best time Jah Rasta farieeeeeeeeeeeeeeee
  9. N

    WALIMU: Kama unasubiri kuajiriwa

    Kama unasubiri kuajiriwa sekta ya ualimu jiandae kwa mambo haya;- 1.kupata pesa ya kujikimu pindi unapolipoti kituoni(wilayani) 2.Kupangwa mazingira ya vijijini sana ambayo hata usafiri na huduma nyingine za msingi ni za kususua 3.Watoto wa kike kutongozwa na maafisa kwa ahadi ya kupangwa...
Back
Top Bottom