Ila kifupi ile nimeiona kama siasa tu kupumguza nguvu ya migomo ya walimu kwa kuweka madaraka makubwa kwaTSC kwa kuiondoa TSD na kuondoa lawama kubwa kwa serikali kwani serikali atabaki kama mwajiri na TSC kuwa na mamlaka makubwa kwa walim hivyo zile za kuandamana kwa mkurugenzi zitakuwa hazipo...
Moja ya vitu ambavyo serikari ya awamu ya nne imemaliza navyo ni kuunda Tume ya Utumishi ya Walimu lengo kuu ni kutatua matatizo ya walimu na kuunda sheria na kanuni za utumishi katika kada ya ualimu.
Lakini yote kwa yote sijapata kuielewa matumizi ya tume hii na kivipi itamaliza matatizo ya...
Kama unasubiri kuajiriwa sekta ya ualimu jiandae kwa mambo haya;-
1.kupata pesa ya kujikimu pindi unapolipoti kituoni(wilayani)
2.Kupangwa mazingira ya vijijini sana ambayo hata usafiri na huduma nyingine za msingi ni za kususua
3.Watoto wa kike kutongozwa na maafisa kwa ahadi ya kupangwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.