Recent content by nsubisi2001

  1. N

    Mnyika: Kwa mkataba mbovu wa Tanzania liquefied natural gas project kwa miaka 30 ijayo hatutakuwa na gesi

    Niwakati sasa serikali iwe inaweka wazi haya masuala ya mikataba, haifurahishi kabisa kuendelea kuwa masikini kama taifa huku rasilimali za nchi zikivunwa na kutajirisha nchi zingine.
  2. N

    Hawa ndio wanahabari 10 ambao hawana shaka juu ya taaluma yao na unafiki wa kujipendekeza

    Yuko mwingine anaitwa Pascal Mayega kama sijakosea jina lake,yuko vizuri sana.
  3. N

    Mwenye swali lolote linalohusiana na TRA customs aniulize

    Utaratibu wa Ku-exbond mizigo tofauti iliyoingizwa bond na entry mbili tofauti katika entry moja
  4. N

    Dakika 5 alizomuahidi Dk. Shein angezitumia hivi

    Hakika umenena vema,. wala sivema akashupaza shingo.. Inampasa sasa kuzitumia vema hizi dakika tano.
  5. N

    End of the World: Nostradamus 2012, December 21 - Mayan Prophecy

    Dalili tutaziona sana..ila siku na saa vimebaki siri yake.
  6. N

    Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi

    Niliposikia waziri kaingia kwenye gari la mwekezaji tu,..haraka nikajua wananchi hawana chao tena.
  7. N

    Kenya, Uganda na Rwanda waweka makubaliano ya ulinzi

    Wanamuogopa,hawampendi!
  8. N

    Kenya, Uganda na Rwanda waweka makubaliano ya ulinzi

    Tutawachapa vizuri tu..hata wakiungana na Sudan kusini,tutawachapa tu!
  9. N

    Kwa nini Kenya ilihairisha kuivamia Tz kijeshi mwaka 1984??

    Nihabari za kweli, mkiwapata wapiganaji wetu wa zamani watawasimulia haya.
  10. N

    Dkt. Slaa ziarani: Mikutano ya Desemba 5, Kakonko, Kigoma

    “Tanzania, Kigoma, Kakonko bila Zitto haiwezekani; Mhe. Slaa, Mhe. Mbowe wote wajiuzulu mara moja; Hatuko tayari kusikiliza lolote bila Zitto.” Wamevurugwa hawa....
Back
Top Bottom