Recent content by Nsubi

  1. N

    Kifo cha Dkt. Magufuli chaacha sintofahamu kubwa kwa wafanyakazi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
  2. N

    Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

    Wengi hawaelewi kaka wanafikiri unalala na kuamka vimeshabadilishwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
  3. N

    Je, ikitokea Rais Muislam amefariki, atapewa heshima zote kama heshima anayoipata Rais asiye Muislam?

    Mbona kwa Dr Omari Ally Juma hakuwaishwa kuzikwa kama mnavyosema, acheni uongo haya mambo kwa kiongozi wa kitaifa inakuwa na utofauti kwa kiwango flani [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]
  4. N

    Musiba apewa siku 7 kutoa utetezi kuhusu kumchafua Membe

    Kumbuka hii siyo kesi ya jinai [emoji120][emoji120][emoji120]
  5. N

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Acha kutudanganya bwana,kaka yake na General Mwamunyange sio kapteni.Alistaafu utumishi ktk jeshi la police akiwa na cheo cha SACP
  6. N

    Madhara ya magic powder

    Binafsi mimekuwa nikitumia hiyo powder kwa muda mrefu.na so.far sijaona madhara yoyote tena naiona ni salama zaidi kuliko kutumia machine ambayo inatumika na wateja wengi hali ambayo inaweza kukuletea skin infection.Tena ushauri wangu wa bure kama uchumi unaruhusu ni vema kwenda salon ukiwa na...
  7. N

    Madhara ya magic powder

    Kwa hiyo unaogopa kutoka mvi mapema????
  8. N

    Lowassa na Majibu ya Hasira kwa Swali la Msingi

    Huna lolote lazima utakuwa ni CCM wewe,hakuna swali hapo
  9. N

    Toyota Passo for sale

    Kwa bei hiyo hupati mtu kaka,utabaki nayo tuuuuu
  10. N

    Car4Sale Gari inauzwa Nissan Extrail

    Weka bei,hakuna bei inaitwa maelewano
  11. N

    Walio macho muda huu tutambuane

    tupooooooooo
  12. N

    Nssf

    yaani ajira za bongo hazina maana kabisa tena serikali ndo upuuzi mtupu,unaweza kuitwa kwenye interview kumbe watu walishapatikana yaani wanafanya kama formality,utakuta wakubwa wameshapitisha vimemo na watu wameshapata kazi.Mfano hai kuna jamaa nafanya naye kazi hapa wizara ya afya,huwezi amini...
Back
Top Bottom