Kwa hiyo Mkuu Planet hiyo ya kupanga majora umeifanya kwa siku moja tu ukaikimbia[emoji23][emoji134]naomba nikushauri,nenda pale Mbezi Stend nje,jichanganye pale uwe kondakta wa magari madogo private au IT,huwa zinasimama pale kula vichwa,ukiwa sharp hukosi 20,000 kwa siku
Sent from my Infinix...