Recent content by nsibirwaha

  1. N

    Tuliosoma nje ya nchi tunanyanyapaliwa sana

    HATARI SANA NAMI NAAGIZA POPKON KUSUBIRIA PART 2,KAMA MBWAI NA IWE MBWAI,HAHAHAHAHAAAHA,FUNGUKA MZEE BABA
  2. N

    Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

    Ndio maana Jaji wiki iliyopita alizuia swali la jina la Hotel anayolala akasema hakuna umuhimu kuitaja
  3. N

    Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

    Kwa aina ya Shtaka ni lazima Bwana Urio awe chini ya Ulinzi (kizuizini),hawezi kutokea Hotelini au Nyumbani hata siku moja
  4. N

    ARUSHA: Ajali ya apoteza Maisha ya Watu watano akiwemo dereva

    Namfahamu huyo Vivian Urio,alikuwa kaunta SIARA BAR Moshono,daaaah[emoji24] Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  5. N

    Kituo kinachofuata ni Kariakoo

    Kwa hiyo Mkuu Planet hiyo ya kupanga majora umeifanya kwa siku moja tu ukaikimbia[emoji23][emoji134]naomba nikushauri,nenda pale Mbezi Stend nje,jichanganye pale uwe kondakta wa magari madogo private au IT,huwa zinasimama pale kula vichwa,ukiwa sharp hukosi 20,000 kwa siku Sent from my Infinix...
  6. N

    Kwa anayehitaji dada wa kazi anicheki

    [emoji23] Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  7. N

    Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Nzasa aonywa kwa kumwalika Amber Rutty kama mgeni shuleni

    Ndugu JUMA JUMA,Ile ahadi ya Askofu Gwajima kutupeleka Marekani Vijana wa Kawe imefikia wapi??[emoji23][emoji23] Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  8. N

    Mshtakiwa akana kumtambua Sabaya

    JOHNTHEBAPTIST:Yaani watu wote wakutambue mpaka kwenye CCTV Camera uonekane,leo kusiwe na Kesi just jina limekosewa!!!!be serious hata kidogo Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  9. N

    Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

    Sabaya hata akitoka leo hatakuwa na Jeuri,Ubabe na Dharau kama awali,ameshanyooshwa!!!na ni mjinga tu anayeweza kuamini kwamba Sabaya na timu yake HAWATAFUNGWA,hao iwe Jua au Mvua Jela inawahusu,mark my words
  10. N

    Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

    Duuh sorry,nimeona umesema huna Cheti cha JKT!!!hapo changamoto ndugu yangu,ungekuwa nacho ningekushika mkono mpaka kwa CP (Commissioner of Police)mmoja Makao Makuu,akiandika ki-MEMO tu shughuli inaisha
  11. N

    Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

    Prince Mhando,binafsi sihitaji zawadi yako wala Pesa yako,wala chochote kutoka kwako,nitajitahidi kukusaidia for free,naomba njoo PM
  12. N

    Sabaya asema alimiliki silaha kwa sababu alikuwa anatishiwa kuuawa

    Nilikuwepo Mahakamani leo, ninachoweza kusema ni kwamba huyu dogo HACHOMOKI kwenye hii Kesi iwe Jua iwe Mvua,Ushahidi wake ni wa magumashimagumashi sana mpaka Mawakili wake wanatingisha vichwa kama kutopendezwa na majibu yake,huyu Mvua zinamhusu
  13. N

    Jina la Sabaya lasimamisha kesi kwa muda

    Sabaya ni Jambazi kama Majambazi wengine TU,na asiishie kulia kizimbani,ni vema AKINYA kabisa lakini hachomoki Mbuzi Mawe yule
Back
Top Bottom