Jobless Graduate2021
Member
- Aug 15, 2021
- 49
- 45
Habari za jioni ndugu Wana Jamii Forum, ni matumaini yangu ni wazima wa afya na mnaendelea vema na majukumu ya ujenzi wa Taifa latu pendwa la Tanzania. Mimi naitwa MGAYA MICHAEL, kutoka Chuo kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo(SUA) , mwaka wa tatu(finalist) nimesoma Bachelor of Rural Development (BRD)
Nakuja mbele yenu naomba kujulishwa shirika lolote (NGO) inayojihusisha na masuala ya kijamii na maendeleo ambalo huwa linapokea temporary job applicants (Graduates) au taasisi zinazolipa vzur watu wanaojitolea.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!
Nakuja mbele yenu naomba kujulishwa shirika lolote (NGO) inayojihusisha na masuala ya kijamii na maendeleo ambalo huwa linapokea temporary job applicants (Graduates) au taasisi zinazolipa vzur watu wanaojitolea.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati!