Tupendane kama watoto wa baba mmoja Ibrahim .sisi zote ni ndugu na mama yetu Africa.tupendane kwa tofauti zenu.hatuwezi kuwa wote tunafanana .na hata gari lina vifaa tofauti lkn yote vinashirikiana na kufanya kitu kimoja.engine ina kazi yake .matairi yanakazi yake.breki nayo .hivi yote ni vifaa...
hacha hizo ally kombo?? lakini nyinyi kuahidiwa kuwalala wanawake 70 ni nini kama c Uzinzi na usherati?? na ulevi wa kupindukia ??kwenye ile mito ya pombe??kule peponi mlipoaidiwa??wanapoishi mapepo?? maana ukisema uswahilini nikule wanapoishi waswahili.na uzunguni ni kule wanapoishi wazungu.but...
hivi nyinyi mbona hamsomeki ,andika kwa lugha ya Taifa.kuweka kingereza haimaanishi umesoma .sisi ni watanzania na lugha yetu ni kiswahili.na andika kwa kiswahili ili watu wote wakuelewe sana mkuu.tusiwe na desturi ya kitumwa mkuu
we acha ujinga prince kelvin.bibi anahaki ya kibinadam kuwa na mpenzi pia hamad c mtoto mdogo .pia bibi anajickia kama mwanamke yoyote na kama ana kula vizuri na afya njema kwa nini asiwe na mpenzi??hamad endelea na mpz wako hiyo ni haki yako kumpenda bibi .mpe mapenzi ajickie naye ni mwanamke...
nipe email yako au namba ya cmu kama upo kwenye whataap nikutumie .nimejaribu kuweka picha imeshindikana .natumia cmu .cjui njinsi ya kuweka kwenye mtandao kutumia cmu
Kama mwanamke hajaandaliwa vizuri au hayupo tayari kusex .pia inachangia mzongamano wa mawazo na ugumu wa maisha ya kila .inatakiwa mwanamke alilax na awe tayari kwa tendo. Pia kuna baadhi ya magonjwa yanachangia hali hiyo .kwa ujumla zipo sababu nyingi sana.inabidii kumhona doctor kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.