Recent content by NSHIMBA NG'OSHA

  1. N

    Bot kuanza kuita wiki ijayo

    Kaka hizi ni taarifa za ndani kabisa stay tuned
  2. N

    Bot kuanza kuita wiki ijayo

    Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha.
  3. N

    Tra

    kamanda ulikuwa unamaanisha two weeks
  4. N

    Tra

    Kwa mwenye taarifa hiyo training ya ITA itachukua muda gani?
  5. N

    Manukato na Nyumba ndogo Yana ukweli haya.

    Sasa kama wameenda kavukavu atajuaje wingi wa sperm za mume wake kwa ndom hapo sawa jamani lol
  6. N

    Ziara ya rais Kikwete Arusha yaahirishwa?

    Leo Rais Kikwete alikuwa na kazi ya kuzindua chuo cha Nelson Mandela na uzinduzi wa jiji la Arusha lakini cha kushangaza naona msafara wake unaingia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro sasa hivi tayari kwa kuondoka. Mwenye taarifa atujuze jamani amemaliza hayo majukumu au kuna kitu...
  7. N

    UDOM.....updates info..!

    Ni kwamba bado wanayafanyia upembuzi yakinifu kwanza waone kama kuna M4C ili wawachomoe hii bongo noma
  8. N

    Kifo cha RPC Mwanza: Maswali ya Bei Mbaya...

    Innalillah wa innallilah rajun
  9. N

    RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    RIP kamanda Barlow mwenyezi mungu akupe pumziko la milele
Back
Top Bottom