Chakushangaza waandishi não ni makada wa vyama vya siasa leo nilishuhudia dr slaa akiweka point waandishi wanapiga makofi Mara nyingine dr slaa akiulizwa swali ambalo wao wakizani gumu kwake wengine wanashangilia
Hope moyo..watanzania wa Leo wana akili sana...
Slaa ndio mwenye kujua ukweli wa Lowasa sio sh zero mbowe..
Yeye ndie qaliowaaminisha watanzania na yeye ndio atasema kama ukweli AMA uongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.