Recent content by nozzah

  1. nozzah

    Sijui nimgeukie nani. Napitia shida kubwa, natamani hata kufa

    Pole sana usikate tamaa sababu ya mateso na chuki za binadamu kila kitu kina mwanzo na mwisho ipo siku furaha yako itarudi na kusahau shida na mateso uliyopitia.
  2. nozzah

    Kilimo cha Mpunga Bahi

    Kwema mkuu ni pm nikupe walau mwanga pa kuanzia lkn skimu bado haijaanza kazi.
  3. nozzah

    Kijana Ibrahim Maximillian anamtafuta baba yake kwenye picha hizi hapa

    Pole sana ndugu yangu nadhani tamaa uliyonayo ya kumuona baba yako MUNGU pekee ndo anajua,kwa hizo details ulizoweka sina shaka utampata.
  4. nozzah

    Mungu mbariki Salim Ahmed Salim. Yadaiwa anaumwa, yupo kwenye matibabu

    Daaa Mwenyezi Mungu amjarie afya mzee Salim ...
  5. nozzah

    Mwakyembe: Marufuku kumuliza Azory Gwanda alipo. Mbona viongozi wa Serikali hamuwaulizii? Waliokashifiwa na gazeti la Tanzanite waende Mahakamani

    Nadhani bado Ana kitu kinachomsumbua katika akili yake.... Ni Dr ambae anatuona sie wanyonge hatuna maana kuulizwa tukipotea...? Hawa watu wamejipa U-Mungu mtu Sana.
  6. nozzah

    Kulikuwa na sababu gani ya kumwambia Rais Magufuli ndege inayokuja leo ni Ngorongoro na badala yake imetua Dodoma Hapa Kazi Tu!

    Hii inaonyesha wasaidizi wake Hawapo makini Na wanalosema ....mkuu kapatia wao wanajidahi kumsahihisha kumbe wanampotosha.
  7. nozzah

    Zitto: Kwanini Serikali inaogopa Wachunguzi wa Kimataifa? Ushauri wa Lema swadakta

    Hili la MO kila mwenye akili timamu lazima limguse ukiona mtu analeta habari za siasa huyo ni wakuogopa kama ukoma,MO angelikuwa ni baba yako au kaka yako mngeongea huu ujinga kweli? Watanzania lazima tuungane kwenye hili hii serikali yetu hata maombi Kwa watu wanaokutwa Na maswahibu hawataki...
  8. nozzah

    Nimerudi tena

    Nimerudi tena baada ya mama wa taifa kuukwaa ukuu wa wilaya
  9. nozzah

    JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

    Mkuu ili tatizo hata kwangu lipo sipati new post hadi ni sign out
  10. nozzah

    Natafuta pilipili

    G,d.
  11. nozzah

    Natafuta pilipili

    So
  12. nozzah

    Jeshi la Polisi lamjibu Waziri Kigwangalla, lasema halifanyi kazi kwa mashinikizo

    Kigwangala hakutumia akili katika sakata hili hata kidogo alishindwa kukaa chini na waziri husika before compress ake au ndo kukurupuka.? Matokeo yake anatoa amri ya siku 7 la sivyo anatia kitumbua cha Nchemba mchanga maigizo ya kigwa yanatia kichefuchefu
Back
Top Bottom