Jenerali siadd barre aliyekuwa mtawala wa somalia ambaye aliua masheikh zaidi ya 12 kwa Siku moja yuko wapi? na firauni wa misri aliyewatesa bani israil na kusema yeye ni mungu mkuu alifika wapi?
sasa kama unataka nikujibu vizuri mbona unaniuliza mbele ya kamera halafu kabla sijajibu unajibu wewe halafu unauliza tena? nitakudanganya tu kwani hakuna namna!
sidhani kama kuna faida yoyote kumtukana baba yako mbele ya watu kisa ugali hautoshi wakati ww ni mtu mzima .huu muda woote unaotumia kumtukana hapa na muda mwingine unapoteza kwenye facebook na whatsap unatosha sana kujishughulisha ili angalau upate rizki
YAYA TOURE alipofiwa na kaka yake wakati wa mechi za kombe la dunia 2014 hakurudi ivory coast nyumbani kumzika kwa sababu sheria za kombe la dunia haziruhusu.tuwe fair rais hawezi kuhudhuria kila msiba by the way makamu wa rais alikuwepo
propaganda hii imetumika sana chaguzi zilizopita.sidhani kama mwaka huu ina nafasi katika siasa za kisasa ambapo majority ya wapiga kura wanajua nini wanachotaka.
hizi ni tafiti za wajasiria uchaguzi.REDET walitumika sana kumfagilia njia kikwete mwaka 2005 na kutokana na kazi yao nzuri bosi wao prof.mukandara akazawadiwa cheo kikubwa chuo kikuu cha dar es salaam.mwaka huu mwendo ni huohuo kuna watu wanafanya utafiti kwa ahadi za ubalozi ukuu wa wilaya...
hizi ni tafiti za wajasiria uchaguzi.REDET walitumika sana kumfagilia njia kikwete mwaka 2005 na kutokana na kazi yao nzuri bosi wao prof.mukandara akazawadiwa cheo kikubwa chuo kikuu cha dar es salaam.mwaka huu mwendo ni huohuo kuna watu wanafanya utafiti kwa ahadi za ubalozi ukuu wa wilaya...
nimesikitishwa sana na comment yako.Huna haja ya kumtukana TIDO kwa sababu tu atafanya mahojiano na mtu ambaye ametofautiana na chama chako.unaonekana kwamba wewe ni LAYMAN katika masuala ya demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.