Recent content by notable

  1. N

    Star times frequencies

    Hello members. Naombeni mnisaidie satelite , transponder na frequencies recent za startimes maana nataka ni install receiver mpg4 ya star x _x2 plus ila nashindwa.
  2. N

    King'amuzi cha star x ..x2 plus kinanisumbua kuifunga

    Nina tumia azam ila naona usumbufu kibao. Naomb mnisaidie namna ya kuiset hii star x x2 plus. Hasa nitumie satellite IPI na frequency ngp, najua wataalam mnajua. Karibuni.
  3. N

    Msaada pliz, kuset kingamuzi star x .. X2 plus

    Nina tumia azam ila naona usumbufu kibao. Naomb mnisaidie namna ya kuiset hii star x x2 plus. Hasa nitumie satellite IPI na frequency ngp, najua wataalam mnajua. Karibuni.
  4. N

    Tabia hii ya mpenzi kukumbusha makosa siipendi, nifanyeje?

    Ee bhn nimekupata vyema. Kwnz kukumbushia kwake ni ishara ya maumivu lakn pia imani yake imeisha kwako. Kama unampenda kwa dhati kabx na unapenda awe mkeo nakuomba umtengenezee mazingira ya yeye kusahau hilo ulilolifanya. Cha kufanya ni kuwa karb nae hasa na akikumbushia urudie kuomba radhi na...
  5. N

    Tabia hii ya mpenzi kukumbusha makosa siipendi, nifanyeje?

    Mkuu embu elezea vizur ulimcheat kias cha kulala na mwngn na yeye akajua au hajacomferm ila kaona mawasiliano yako na huyo mchepuko yenye kudhihirisha kuwa umemmega..
  6. N

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ________________
  7. N

    Naonewa jamani, msaada wa kisheria pliz.

    Kibongomkuti ni kwamba kesi ilivyofika mahakamani waliifanya iwe jinai yaani 'kula njama kununua ardhi ya familia" kisa wanadai muuzaji ni kichaa. Contradiction ni kwamba huyu muuzaji hajaanzia kwangu kuuza bali alishauzia kwingine from the same farm mbaya zaidi mlalamikaji akiwa witnesser...
  8. N

    Naonewa jamani, msaada wa kisheria pliz.

    Mokoyo hip hop ya nn tena?
  9. N

    Naonewa jamani, msaada wa kisheria pliz.

    Mimi home ni Manyara lakini kwa sasa niko hapa UDSM (mlimani) namalizia mwaka wa tatu. Yote hayo yalifanyika mm nikiwa chuo. It was too painful to my relatives. Na isitoshe ninakumbuka muuzaji alinikuta home wakati akinadi plot yake.
  10. N

    Naonewa jamani, msaada wa kisheria pliz.

    Mimi nasoma chuo kikuu hapa Tanzania. Mwaka jana mwezi wa tisa nilinunua plot lakini niliporudi chuo ndugu zake na muuzaji ambao ni wa kike walienda mahakamani wakidai mimi na mwenyekiti wa mtaa aliyeandikisha hayo makubaliano yetu eti tumekula njama ya kuuza ardhi ya familia wakidai eti muuzaji...
  11. N

    Nime copy mahali na nimecheka saaana..

    Daaaaaah hiyo Kali
  12. N

    Mwanafunzi chuo kikuu UDSM apigwa risasi- Afariki

    Hv amekufa au imekuaje? Naomba nieleze vizuri mwenzangu
  13. N

    Je is it logical to get lover through just Phoning or texting....?

    Jamani mm nahc ni kupotea kwa uelekeo endapo unatafuta mtu wa kuoa au kuolewa kwenye mitandao; watu wanafikiri kuoa au kuolewa ni just kuwa na mtu, for me that is not enough we need to look even beyond that like the behaviour of the object, morphology, ukoo, and even personal hygiene. Ni mawazo...
  14. N

    Sijawahi kufika kileleni

    Me Napita tu. Ila nahc ww mwenyewe wasababisha ucfike kilele, may be unapigwa zaga akilini uko unawaza hera.
Back
Top Bottom