Basi nikuombe tumshauri jamaa kwa pamoja (Wewe kama mtaalamu mziefu, mimi kama mjaaikiamali/biashara na wengine wajumbe) ili afanikiwe au akumbane na uhakisia…
Ushauri wangu ni huu
1. ondoa shaka 30M inatosha (ila kuwa na mikakati)
2. Iendee pharmacy yako kwa awamu yaani hivi
-Pata jengo zuri...
Ndio nilianza ivyo lkn nilienda kwa hatua
1. Ilikuwa Dldm jumla na rejareja
2. Baada ya mwaka nika upgrade kuwa pharmacy ya rejareja
3. Miaka miwili mbele ikawa ni whole & retail
Inabidi tujikubali tu na tukubali kuwa tumechelewa sana kama taifa (Kawombe) lkn kazima tusonge mbele.. unaongelea Kenya na Rwanda😂 Imargine tuna akina wewe wataalamu na waziefu wa miaka 8+ kwenye field tajwa…
Watu wa hivi wapuuze sana!! Usikubali kukatishwa tamaa kirahisi!!
Naongea kwa uzoefu kabisa, Niliwahi ambiwa hivihivi na mfamasia niliyeenda kumwomba ushauri kuhusu kufungua pharmacy back then 2014.. miaka michache baadaye akikuja kumwombea kazi mdogowake pharm tech😂.
Chukua tu maoni ya wanao...
Dawa hizo unazoita za kubeba kwa boda kwamba ni kidogo zinaweza kuua kijiji kizima kwa Over dosing…
Nipo kwenye fied hizo zote mbili kwa over 10yrs sasa mtaji unatosha tena kufanya / kuanza mambo yote mawili mchawi ni location tu.. tena hata mm pia sipo golini kabisaa na mambo yanakimbia...
Mimi kwangu paa linavuja ajabu… limefanyiwa marekebisho mara kadhaa na baadaye kuoauliwa tena lkn zote zimekuwa suluhu za muda mfupi.. Mvua ya mwaka huu ilikiwa yetu
Kwakufanya ivyo unatatua tatizo ambalo lingekuganda hadi ungetamani kuhama.. vikundi vingi ni uhuni tu.. sishauri mtu kujiunga na kikundi chenye Agenda ndeeefu.. hapo ni mradi wa wanao ratibu hicho kikundi..
Lkn kwa kuwa binadamu ni kiumbe wa kijamii jumuika kwenye mazoez dk30-60 kila mtu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.