Shida ya SUMA JKT NI moja tu Kama shida iliyopo kwa majobless wengi, Dreams are Just like Water vapours, Unaandaliwa kuwa mtu Fulani wa kuheshimika na kutetemekewa ghafla bin vuu unapelekwa kwa vitoto vya farao full madharau, havina heshima no nidhamu , Full madaha eti ukavisimamie , mbona...
Wangejaribu hata kutubalansia mechi na WA package zingine, yaani mechi zote 4, zipo kwa package moja tu, wangetubalansia tu angalau mechi za Mchana moja iwe kwenye package za vifurushi vya chini na za usiku hivo hivo
Na ninateseka saana Kama leo sio powah ,mechi ya saa Saba, saa kumi na saa moja zote Holaaaa, sio powaah *****, nikasema ngoja nicheki TBC nako Holaaaa
Nikaamua Nile zangu tu series hapa yaTHE LAST SHIP, Nikisubiria mechi ya saa nne usiku labda wanaweza tukumbuka sisi wengineo
Pindi kombe la Dunia likiendelea na sisi wapenzi wa mpira Duniani kwa namna moja au nyingine katika kuhakikisha hatupitwi na hii burudani ilioiteka Dunia tuliamua angalau mwezi huu tulipie angalau hata ving'amuzi vyetu vya DSTV malipo ya juu kidogo ili tuweze kuzitazama hizii mechi Mana Hali ya...
Ni wetu sote mkuu Mana maamuzi wanayoyafanya yanatuasiri sisi raia wote , mfano Mambo ya kukopa matilioni huko nje halafu tunaundiwa TOZO, saizi Kuna varangati la kuanza kulipia Barabara kwa kila gari
Yote haya ni Mambo ambayo yanasababishwa na Hawa tunaowachagua au wanaoteuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.