Katika uhai wake marehemu aliweza kugombania Urais wa Tanzania bila kupitia chama cha siasa ambayo ni kinuyume na katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Serikali ilishindwa kushutukia hadi marehemu anaaga dunia.
Kwa bahati mbaya Tanzania haikuwahi kupata raisi wa maana hata mmoja, tunalazimisha tu.
Miaka 60 uhuru Hatuna maji, umeme, huduma za Jamii zote zero kabisa.
Wakati nchi ina zaidi ya Utajiri halafu tunawatengenezea sifa, tueni serious Jamani.
Case imepikwa na usalama wa taifa, polisi kushirikiana na jeshi wakiwa wamepata baraka zote za serikali ya awamu ya 5.
Usifikirie Samia aje kujua ukweli within 2 days.
Ukiangalia ile speech ya Siro, ushahidi ulioletwa na watu waliouleta mahakamani, unganisha na interview ya bbc na samia...
Wanasema talk sense to a fool and he calls you foolish, hii ndio ZZK kwa Chadema.
Chadema wakiomba msamaha kwa raisi, wakiomba kukutana na raisi etc, they call them selves hero, barbarian, undisputed or whatever lakini akifanya mwengine, he is traitor, defector, Judas, schemer or .... ...
Umeona ehh, lazima tukubali samia ametuokoa kiasi flan,
watetezi wetu walikuwa wameshatukimbia wellah. na mwenda zake alikuwa anakuja na mitano tena.
Mungu azidi kutulinda.
Mkuu, nahisi mleta mada hakukusudia kisheria, amekusudia kipsychologia zaidi,
Kwanini hii jamii ya watanzania wanapenda kujitambulisha kama ni wazanzibari na sio watanzania, tofauti na ndugu zao Watanganyika ambao wanafurahi kujitambulisha kama wa Tanzania.
Ni kweli, na wala sio walio Uarabuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.