Recent content by Norbert Pandisha

  1. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania TCRA wawe wa kwanza "kuwajibishwa" kwa kuwa Member wa Mtandao wa JF wanaoutuhumu

    Ha ha ha haaa, aisee....!!!
  2. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania TCRA wawe wa kwanza "kuwajibishwa" kwa kuwa Member wa Mtandao wa JF wanaoutuhumu

    Yumo humu kwa ID gani?
  3. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Kwanini ameshtakiwa Max badala ya kushtakiwa kampuni?

    Inasikitisha sana, sidhani kuwa kweli haya mambo ya kukamata kamata.... ndo' msingi wa shughuli za kiserikali kama taifa ili liendelee mbele, na kuwa nchi ya viwanda.... rather than hali tete ya chakula, maji, mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu, pembejeo za wakulima, madai ya wafanyakazi etc.
  4. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

    Kwani kati ya Dr. Mtafiti wa afya na Waziri wa afya, nani anapaswa kutoa habari za kiutafiti kuhusu uwepo wa ugonjwa???
  5. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

    Inasikitisha sana aiseee....!
  6. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Wabunge kwa JK kumtema Pinda: Nashauri kama Mwandosya amepona ateuliwe kuwa Waziri Mkuu

    Eeeeh?, hebu nijuzeni haya, hunda yalinipita kushoto:- Ni kweli kwenye rasimu mpya kuna pendekezo la kufuta cheo cha makamu wa rais pia waziri mkuu?, Mh. Pinda ameishi ikulu kwa muda gani, je kwa muda wote alokuwepo ikulu alikuwa akilima kweli?
  7. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    Msimsahau Mh. RAGE, ni mzigo aisee
  8. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Januari Makamba adai CCM wataimaliza CHADEMA

    Kama ndivyo ilivyo basi ameudhihirishia umma kuwa yeye si mzima kichwani, elimu yake na maisha ya jamii ni vitu viwili tofauti, uelewa wake juu ya siasa safi na demokrasia ya kweli ni ndogo sana, msadili na utu wa mwanadamu kwake hauna nafasi, ufisadi, nguvu na uonevu ndo tegemeo la viongozi wa...
  9. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa kwanini hakukamatwa kahama kwa kuzidisha muda wa mkutano wa hadhara?

    Kuzidi au kupungua muda hakuna tija yoyote, sana sana ni amani ndo kigezo cha msingi.
  10. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Dk.Mkumbo: Nilijiuzulu nafasi zangu CHADEMA tangu 2010

    Tuko pamoja ktk hili.
  11. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Dk.Mkumbo: Nilijiuzulu nafasi zangu CHADEMA tangu 2010

    Hivi kama Mwl. Nyerere asingejihusisha na siasa, ni lini tungepata uhuru wetu?, nina hakika tungeupata kwa kuchelewa sana kwani Kitila kuwa mjumbe ni dhambi?. Kuna haja ya kuzitazama upya kanuni, sheria, taratibu za watu kuwa mwanachama, sheria zetu nyingi zimezeeka, zimepitwa na wakati...
  12. Norbert Pandisha

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    We need strong institution, we need strong leaders for paving a way to prosperous life.
Back
Top Bottom