Mimi ni binti wa miaka 26 kiwango changu cha elimu ni 4m 4 failure but I can speak good English and writing. I have work experience as receptionist, customer care service, secretary and waitress nimeshafanya kazi kwenye kampuni zaidi ya mbili.
Mnamo mwaka 2017 -2018 nimefanya kama customer care...
looo!mie nilimuacha alikuwa mbinafsi,mbishi kama nyama ya tako anapenda starehe balaa ila bahili mweeh!yupo tayar kukununulia pombe au kuonyesha umwamba wake mbele ya rafik zake lakin muombe hela yoyote jibu lake ni sina hela kwenye mechi kimoja chaliii analala kama ponooo halaf sifa zimemjaa...
asante sana bishop barikiwa kwa kazi nzuri..huu utamu wa simulizi hatari sana :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes: kama vile wakati wa kiangazi jangwani ukapata pepsi ya baridi kale karadha murua utakachokapata ndo huu uzii sio wa mchezo mchezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.