Recent content by Noncomited

  1. N

    CUF Yatangaza Rais, Wagombea Ubunge na Uwakilishi Oktoba, 2015

    hauko sahihi kiongozi waliotangazwa ni upande wa chama chca cuf pekee na sio upande wa ukawa. Ukawa bado hawajatangaza wagombea wao tunaelewa maelekezo yanayotolewa hata cuf walipofanya kura ya maoni majimbo ya ubongo na kawe kuna watu walilalamika ila chadema ilijibu kwamba cuf wako sahihi...
  2. N

    GE2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

    Hao sio wasomi ni wanataaluma Usomi mchezo!
  3. N

    Hatimae CHADEMA yafanya kweli katika propaganda ya muda mrefu

    Mdee ni Mkaskazin kwanini achaguliwe Ubunge KAWE AU KAWE wapiga kura wote ni wa Kaskazini na Kwa Mnyika Jimbo la Ubungo vipi na VIPI Waziri WAKUU wa staafu kama LOWASA, SUMAYE, MSUYA, SOKOINE na kwanini Wabunge wa KASKAZINI wana umaarufu mkubwa kuliko wa kanda zingine Mfano OLESENDEKA, ANNE...
  4. N

    Nachukua nafasi hii kuwapongeza wanawake wa Tanzania kwa kuipa kisogo CHADEMA, chama cha kizandiki

    Kwahiyo CDM inaposhinda uchaguzi ni wanaume tu wamepiga kura na hawa hapa niwanaume na Mama Salma Kikwete alilizwa na nan kule TUNDUMA?
  5. N

    Dr. Slaa kunguruma viwanja vya shule ya msingi Matarawe Songea tarehe 22 Januari,2014

    Dr. Slaa atazungumza kesho katika viwanja vya shule ya msingi Matarawe kuanzia mida ya saa nane mchana ikiwa ziara yake katika wilaya za Songea, Namtumbo, Mbinga na Mbamba bay. NYOTE MNAKARIBISHWA!
  6. N

    Utabiri wa anguko la wabunge wa chadema 2015

    Kwa hiyo wabunge hawatacahguliwa kwasababu hawatekelezi ahadi zao kwa wananchi au kwa kwa kuto mtetea zito kwa makosa yake. Du Tanzania kuendelea kazi sidhani kama kuna viongozi wanaweza kuiendeleza Tanzania hii kama unaowaongoza wana fikra hizi
  7. N

    CHADEMA Ruvuma kimenuka

    hou ni uongo wa hali ya juu hamna sual kama hiloFuime na Mbogolo hwana mgogoro japokuwa kuna watu walikuwa wanasugest Fuime agombee ubunge kwa sababau Mbogoro kagopmbea mara3 na kaukosa huyo mfamaji alikuwa TLP kagombea sana kata ya mfaranyaki kabla ya kuhamia CDM hali ni shwari na watu wanaunga...
  8. N

    Kuna nini kati ya Mwigulu na Zitto?

    Hilo ndio tatizo la watanzania hatujikiti kwenye hoja tunaongea bla bla tu. Ukichokieleza mkuu kina hoja ngoja nichangie kwa upande wangu. utendaji wa kazi ZITTO yuko juu zaidi ya Nchemba na si nchemba tu bali viongozi wengi ndani ya CCM na CHADEMA na vyama vingine pia, ila taizo la ZITTO lipo...
  9. N

    Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

    Pamoja kamanda mwambie kamanda SUGU watu wa mbeya tupo pamoja naye kwa kila hatua MOLA AWAONGOZE DAIMA
  10. N

    Thamani ya Dr. Slaa kisiasa na anguko lake kabla ya 2015

    N[SIZE=4]enda kwenye mikutano yake WATU SHAZI lakini je ulijua kwamba DR.SLAA ndiye mgombea wa urais 2010 kama ulikuwa hujui basi hutajua nani mgombea urais 2015 omba uzima utashuhudia, usijipe stress mapema nashukuru kwakuwaandama kwa kuzani ni kikwazo kwa ccm kuchukua urais ndani ya CDM wapo...
  11. N

    Ni kweli nilikuwa mwenyekiti wa CHADEMA lakini sijawahi kuwa na kadi ya uanachama ya CHADEMA

    Basi na wewe sio mzima kiakili kama ulikuwa kiongozi na unagawa kadi bila kuwa na kadi ya uanachama kwa maana unatumia resource zako kujenga nyumba isiyo yako ajabu sana inabidi MAGAMBA wae makini na wewe
Back
Top Bottom