Recent content by nolelo

  1. nolelo

    Hili la mkuu wa nchi kutokuwa na exposure ni weakness aliyotakiwa kutafutia ufumbuzi

    akili ndogo, talk the reality and truth, exposure is every thing, ukikaa umejifungia utakuwa na akil za mchunga ng'ombe, huku tumeisoma namba sjui hapo mlipo wenzangu Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  2. nolelo

    NDOTO: Mume niliye naye siye ambaye nilipangiwa na Muumba

    uliolewaje nae wakt co wako?
  3. nolelo

    Sitatongoza tena, naanza kununua wanaojiuza

    unkurupuk tatzo, wot11, unshindw kushawish ht mmoja, hufai kuitw mwanaume
  4. nolelo

    Godbless Lema ampa za uso Lowassa baada ya kutoka Ikulu na kumsifia Rais Magufuli

    trust no body, watanzania ni wanafiki san tatzo, acha tuolew tu mwanaume anauguz majeraha
  5. nolelo

    Ukarabati wa nyufa za majengo ya UDSM waanza

    niulize labda, yule mwanfunzi kaachiwa???
  6. nolelo

    Kwa CCM hii ya Rais Dk. Magufuli, ni nani atabaki Upinzani?

    duuuhhh, huy nae kaja kutuharibia sk kabsaa, mambo gani ya kutoa hoja za kichwara hivo
  7. nolelo

    Kutokwa na mkojo wa njano nini tatizo au madhara yake?

    kama co malaria, hujanyw maji mda mrefu
  8. nolelo

    Ipo Siku kila Mtu atamshangalia Rais Magufuli

    ibintu biferaa kumbe, maisha ni sas, unatak tuje tumuelew lini, tukiwa makaburin au wapi, awamu ya 5 tumeolewa wengi kweli
  9. nolelo

    Waziri Mhagama: Ukosefu wa ajira umepungua kutokana na juhudi za serikali

    tatizo letu 2nashangiliaga upumbavu, angalia mikutano ya wenye shibe, makofi mengiiii, acha tupelekwe kama mazombi
  10. nolelo

    Nataka Nipoteze Hisia Nifanyeje? (iam Serious)

    ufe tu kama hutaki hisisia zozote we binadam gan, coz hata maumivu utakuw huyasikii, ukidhuriwa mwilini
  11. nolelo

    Mke wangu amefundishwa tabia mbaya salon

    naw mfundsh tabia njema chumbani Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom