Salaam,,,Tanesco mkoa wa Ruvuma wilaya ya Tunduru mmekuwa kero sana,shughuli zetu haziendi Umeme low voltage na hamfanya chochote zaidi ya kutupiga kalenda tu,,toka tuanze kutumia greed ya Taifa imekuwa kero sana,, tumeimbiwa sana kuhusu mtafunga automatic voltage regutor lakini mpka leo hakuna...