Kikwazo cha Africa siyo dini, wala elimu, hivyo ni vichaka tu vya kufichia upumbavu wetu, tatizo kubwa ni ubinafsi na kutokujitambua, Mungu alivyomuumba mwanadamu alimpa akili, akili inazaa maarifa, sisi Africa hayo maarifa hatuyataki, kwa maana hatuzifikilishi akili zetu, na akitokea kiongozi...