Recent content by Noel wa ruben

  1. Noel wa ruben

    Kaa ukijua hamu ya kujamiiana kwa mwanamke ni mara tatu zaidi ya mwanaume

    Kama ww ni mwanaume pambana kumtafuta pesa popote duniani Ila siyo kukaa ndani kulinda kulinda k, k inanyanduliwa hata Kama upo sebleni watu wanazagamua uko palepale.
  2. Noel wa ruben

    NMB wamenivuruga usiku huu

    Kiukweli nimechukia Sana ukizingatia nilikua nauhitataji wa fedha, Sasa nimeshuka sehemu nikaamua niangalie salio ili nichukue fedha kwa ajili ya Mambo yangu kwa kutumia NMB mobile. Cha kushangaza naangalia salio na kutana na NMB APP wakati nilisha zoea kuangalia salio kwa njia ya kawaida Sasa...
  3. Noel wa ruben

    Nani hasa ana utajiri mkubwa kati ya Joseph Kusaga DSM na Vicent Laswai Moshi? Nani Fogo

    Utajiri wa watu ukiujua ukusaidie nn? Au gahawa iko kazini
  4. Noel wa ruben

    Walimu shuleni waongozwe na Walimu wenye Elimu kubwa zaidi ili kupunguza migogoro

    Kumbuka pia uongozi ni karama,unaweza kua na elimu kubwa ukawa 0 kwenye kuyatazama mambo na kuyatatua,mfano mdogo mtazame msukuma Kule bungeni ndo utaelewa.ukiwa kiongozi sehemu flan unakua pia ni mlezi was watu walio chino Yako.
  5. Noel wa ruben

    Nani ungempendekeza awe Rais wa Tanzania?

    1.polepole 2.bashiru 3.mbowe
  6. Noel wa ruben

    Anayeshtakiwa kumuua Mkewe asema Kichwa cha Mwanamke huyo kiliungua moto kirahisi sababu alikuwa anakigeuza

    Kama unaona mambo hayaendi sawa ndani ya ndoa achana na hiyo ndo kabla hujala ndoano.
  7. Noel wa ruben

    Ni nini hatima ya maelfu ya hotel za kitalii zilizopo jiji la Arusha?

    Waliotufunga minyororo enzi hizo na tuliwafukuza kwa nguvu Sasa tumeanza kuwakabidhi nchi, Kuna miaka inakuja nchi za kiafrika itakushida hakutakua na ardhi ya kilimo, hakutakua kua na ufungaji, hakutakua na wachimbaji wadogo wazawa kma tunavyosikia tutakua vibarua, tutakua watazamaji Kama...
Back
Top Bottom