Recent content by Noel Kwai

  1. N

    Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

    Sa Sasa kabinti kameenda na kubana pua eti mitano Tena ilhali watu wako na hisia zao, Tena ana bahati wangempiga kwa mawe kabisa
  2. N

    TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

    Laana itawaandama, damu ya binadamu asiye na hatia sio sawa na ya mbuzi! By the way mbona wote tutakufa tu ni suala la.muda na aina ya kifo tu
  3. N

    Ni wazi sasa Waliohamishiwa Msomera wana Hiyari ya kurudi kwao Ngorongoro

    Baadhi yao ni Wamasai wa mjini, kwao ni fursa acha waendelee kucheza singeli huko Tanga
  4. N

    Natabiri Paul Makonda atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2030

    Baada ya kumpoteza Sheikh Yahaya, siku hizi mmemkwa wengi sana
  5. N

    Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

    Poleni wana wa Mbeya, Mungu mkubwa kama hakuna maafa yaliyotokea, jamani damu ya binadamu si sawa na damu ya mnyama mwingine, wenye mamlaka waangalie hivi si viashiria vizuri kwa mstakabali wa nchi, watu wana shida na hawaoni mwanga wa matumaini.
  6. N

    CCM hakuna msemaji makini? Mbona ovyo kila siku

    Mhhh, kwa wale walioko Dar, kama kuna mtu aliona kipindi jana Mlimani TV kilikuwa kinaoongozwa na Ayoub Ryoba, alikuwepo Mzee Mkama, Katibu Mkuu CCM, namna alivyokuwa anaongea na kujibu maswali ya wasikilizaji ndiyo ungejua hali ni ngumu kuliko tunavyodhani. Mf. alijikanyaga kuhusu mradi wa...
  7. N

    Naibu Waziri wa Serikali ya JK akiri kushindwa Kazi

    Mara nyingi ndege wanaofanana huruka pamoja
  8. N

    Prince Charles na mke wake washindwa kuingia mjini Arusha

    Safari ni hatua, hongereni Arusha ujumbe wenu umefika, kweli damu ya vijana wenu iliyomwagika iko siku majibu yatapatikana
  9. N

    Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    Dr. Slaa hakuna haja ya kumpa pole kwa sasa bali kukumpongeza yeye na wenzake naanza kuona mbele ya safari kama mwanga utaonekana, safari ya haki lazima wachache wataumia kwa niaba ya wengine. Dhuluma na uzalilishaji wanaofanyiwa viongozi wa CDM na upinzani kwa ujumla ni maandiko na alama...
  10. N

    Wanatafuta umaarufu wa kimataifa kwa kukaa uwanjani ili eti prince chalesi awaone

    Angalieni threads zingine ni za mashetani si lazima kuzitolea maoni mtapoteza uwezo wa kufikiri .
  11. N

    Tanzania signs a land deal in Iowa (last week)...

    Maskini Pinda, huku anaaminishwa kuwa GMO hizo ni za kulisha waTZ kumbe ni kwa ajili ya ethanol
  12. N

    Tanzania signs a land deal in Iowa (last week)...

    Kwa taarifa tu hao waporaji siku wakiaanza huo uzalishaji tumekwisha kwani mbinu wanazotegemea kutumia kwenye uzalishaji ni mbinu ambazo zitatufanya wakulima wadogowadogo ambao ndiyo wengi watakuwa watumwa ndani ya nchi yao na hapo ndipo tutakapochinjana. Mlioko huko mtujuze, hizo GMO ni mali ya...
Back
Top Bottom