Tanzania signs a land deal in Iowa (last week)...

Ni aibu kusikia kwamba hata mtoto wa mkulima, Waziri Pinda anakula ufisadi wa wakina Iddi simba.

Wiki Iliyopita Waziri Mkuu alikuwa Iowa Marekani kukutana na Kampuni ya Cargil Energy ambao wananunua mamillion ya hekari Tanzania kwa ajili ya GMO.

Ili kuleta mabadiliko Tanzania, tunahitaji wapiganaji wakweli ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya taifa lao kama,

Dr. Wilbroad Slaa 15
Generali ulimwengu 5
Dr. Harrison Mwakyembe 8
Johnson Mbwambo 5
John Mashaka 10
Zitto Kabwe 10
John Mnyika 10
Tindu Lissu 10
Alima Mdee 10
Ananilea Nkya 10
January Makamba 10
John Shibuda 10
Maggid Mjengwa 10
***************
Dr. Emanuel Nchimbi -0
Nape Nnauye -5
Makongolo Mahanga -0


Tanzania itaendelea na Itanyooka Tena mafisadi wa kifikra na kimaadili watatoweka.

Hata ningekuwa mimi ningeanza kuiba tu; kujifanya mtakatifu sana kwenye nchi hii unaishia kuwa masikini tu na watu wanakucheka. You only live once bwana!
 
Still blinding urself swala hapo sio uzungu ni comitment na hayo waliosoma ama kufundishwa, stricness kwenye kufanya kazi na seriousness katika kutaka kufanya standard quality, ndio maana wachache wenye kuamua kusimamia quality developments personally wanaweza hapahapa tanzania, kwani Bakhresa ameweka hao wazungu? mbona amekua akitoa products mpya na ni quality?
IF YOU HAVE NO CONFIDENCE IN SELF, YOU ARE TWICE DEFEATED IN THE RACE, BUT WITH CONFIDENCE YOU HAVE WON EVEN BEFORE YOU HAVE STARTED THE RACE. na hayo ya kuwaleta wawekezaji wa dizaini hizo huku ukiwaambia walete ma-manager wazungu sababu sisi hatuna sio kuwafundisha waTZ bali ni kuwa-undermine intelligence capability yao, wawekeze kwenye
vyuo in terms of waalimu na vifaa ili wazalishe graduates compatible na pia wafundishe maadili ya kusimamia na kutekeleza profession zao katika utendaji, anachofanya huyo mzungu ni kua na ujuzi na kwenda na principles basi that we should be able to do as well.


Usitake kubisha vitu ambavyo sisi bado tuko nyuma. Unataka kunipa mfano wa Bakhresa? nenda katazame wataalam wake wanatoka wapi? si lazima wawe wazungu lakini ni wa kutoka nje ya Tanzania.

Tanzania hatuwezi kwa sasa. Tungeweza, mashirika, mashamba, maviwanda ya umma yasingekufa kiholela. Tumeshindwa kuendesha , we are still "immatured" we need expertise kutoka nje. Haikushangazi kusikia kuwa Egypt wanalima kando ya ziwa Nile na wanalisha nchi nzima ambayo population yake ni kubwa kuliko Tanzania? wakati sisi ndio chanzo cha maji ya Nile? sehemu kubwa Victoria iko kwetu, mbali na ziwa Tanganyika, na ziwa Nyasa (Malawi). Ukweli ubaki kuwa ukweli, na waa si kujidhalilisha, ni kusoma.

Leo hii hata sindano hatujuwi kutengeneza, tutashindana na wanaotengeneza sindano kuanzia miaka 500 nyuma? nope, kwanza watufundishe kuitengeza hiyo sindani halafu ndio tuanze kutengeneza. Mkulima wa Tanzania anatowa hardly gunia 2 za mahindi kwa eka moja wakati wenzetu wanaongelea zaidi ya gunia 20.

Tusijigambe na bado hatuwezi, waacheni hao wamerekani waje kuwekeza na tujifunze kutoka kwao.
 
Usitake kubisha vitu ambavyo sisi bado tuko nyuma. Unataka kunipa mfano wa Bakhresa? nenda katazame wataalam wake wanatoka wapi? si lazima wawe wazungu lakini ni wa kutoka nje ya Tanzania.

Tanzania hatuwezi kwa sasa. Tungeweza, mashirika, mashamba, maviwanda ya umma yasingekufa kiholela. Tumeshindwa kuendesha , we are still "immatured" we need expertise kutoka nje. Haikushangazi kusikia kuwa Egypt wanalima kando ya ziwa Nile na wanalisha nchi nzima ambayo population yake ni kubwa kuliko Tanzania? wakati sisi ndio chanzo cha maji ya Nile? sehemu kubwa Victoria iko kwetu, mbali na ziwa Tanganyika, na ziwa Nyasa (Malawi). Ukweli ubaki kuwa ukweli, na waa si kujidhalilisha, ni kusoma.

Leo hii hata sindano hatujuwi kutengeneza, tutashindana na wanaotengeneza sindano kuanzia miaka 500 nyuma? nope, kwanza watufundishe kuitengeza hiyo sindani halafu ndio tuanze kutengeneza. Mkulima wa Tanzania anatowa hardly gunia 2 za mahindi kwa eka moja wakati wenzetu wanaongelea zaidi ya gunia 20.

Tusijigambe na bado hatuwezi, waacheni hao wamerekani waje kuwekeza na tujifunze kutoka kwao.

hahaha! eti muingereza amenyanyaswa na kina Mengi. Yaani we kweli unawasikiliza hao wazungu au una agenda yako personal? Nani kakuambia mzungu atakufundisha kulima au kutengeneza sindano? sisi tutabakia kuwa manamba tu kwenye hayo mashamba ya genetically modified food. pia kwa taarifa yako mazao yanayopatikana kwenye hayo mashamba yataku-exported ulaya na sio kuwalisha watanzania.
 
hahaha! eti muingereza amenyanyaswa na kina Mengi. Yaani we kweli unawasikiliza hao wazungu au una agenda yako personal? Nani kakuambia mzungu atakufundisha kulima au kutengeneza sindano? sisi tutabakia kuwa manamba tu kwenye hayo mashamba ya genetically modified food. pia kwa taarifa yako mazao yanayopatikana kwenye hayo mashamba yataku-exported ulaya na sio kuwalisha watanzania.


Kalagabaho, hata suruali unayovaa walikuletea wao, tena nna uhakika ni ya mtumba hiyo.
 
Nasikitika kupingana na majority humu na kuungana na wachache, kwa kuunga mkono hatua hii ya serikali. Bado tuna ardhi kuwa sana ya kutumia lakini tunakufa njaa kwa kukosa elimu na mtaji...

kuhusu suala la wawekezaji kupora ardhi wala msiwe na wasiwasi, maana hata ajificheje, hata ajipake kiwi, mlowezi atajulikana na mlowezi tu. Atakuja ataendeleza ardhi, baadae wanachi tuatakapoihitaji tutaingia tutamfukuza tutaichukua ardhi yetu, na viumwekezaji atakavyokuwa ameweka (refer Zimbabwe)...
 
Nasikitika kupingana na majority humu na kuungana na wachache, kwa kuunga mkono hatua hii ya serikali. Bado tuna ardhi kuwa sana ya kutumia lakini tunakufa njaa kwa kukosa elimu na mtaji...

kuhusu suala la wawekezaji kupora ardhi wala msiwe na wasiwasi, maana hata ajificheje, hata ajipake kiwi, mlowezi atajulikana na mlowezi tu. Atakuja ataendeleza ardhi, baadae wanachi tuatakapoihitaji tutaingia tutamfukuza tutaichukua ardhi yetu, na viumwekezaji atakavyokuwa ameweka (refer Zimbabwe)...
Kwahiyo tule GMO?
unafikiri wanalima kwa ajili yako?
 
Kalagabaho, hata suruali unayovaa walikuletea wao, tena nna uhakika ni ya mtumba hiyo.

hahaha! nani kakuambia mzungu anatengeneza suruali? nguo zote za mzungu nae anatengenezewa na mchina yeye kazi yake ni kuweka label ya lee, tommy hilfiger etc. labda mwenzetu ndo unaletewaga hizo suruali za mitumba na wao wazungu wako.
 
ni bahati mbaya kwa wawekezaji wezi, kwani wanaowakaribisha leo siku zao zi ukingoni. Wataingia watu wasiotaka kusikia hbr za wezi, titatimua wote wakatushtaki mahaka ya kibiashara. Na fidia hatuwapi, tutawaambia watudai, na deni halifungi mtu labda wawachukue hawa mafisadi wawalipe, sio siye walipakodi

pinda jiuzulu
 
Kwa taarifa tu hao waporaji siku wakiaanza huo uzalishaji tumekwisha kwani mbinu wanazotegemea kutumia kwenye uzalishaji ni mbinu ambazo zitatufanya wakulima wadogowadogo ambao ndiyo wengi watakuwa watumwa ndani ya nchi yao na hapo ndipo tutakapochinjana.
Mlioko huko mtujuze, hizo GMO ni mali ya makampuni na juhudi zilizopo ni kuhakikisha kwa udi na uvumba wanachukua ardhi, wanamiliki teknolojia ya mbegu hapo kwisha kabisa.
Ni vita ngumu lakini kama si leo au kesho iko siku umma utashinda.
kama Pinda na wenzake wangekuwa wazalendo, wangetengeneza mkakati wa kuhakikisha wamilik na wakulima wakubwa wanatengenezwa hapa hapa, haya mambo ya kukumbatia kila kitu ndiyo maana tunaambiwa lazima lazima tuoane watu wa jinsi moja.
 
Kwa taarifa tu hao waporaji siku wakiaanza huo uzalishaji tumekwisha kwani mbinu wanazotegemea kutumia kwenye uzalishaji ni mbinu ambazo zitatufanya wakulima wadogowadogo ambao ndiyo wengi watakuwa watumwa ndani ya nchi yao na hapo ndipo tutakapochinjana.
Mlioko huko mtujuze, hizo GMO ni mali ya makampuni na juhudi zilizopo ni kuhakikisha kwa udi na uvumba wanachukua ardhi, wanamiliki teknolojia ya mbegu hapo kwisha kabisa.
Ni vita ngumu lakini kama si leo au kesho iko siku umma utashinda.
kama Pinda na wenzake wangekuwa wazalendo, wangetengeneza mkakati wa kuhakikisha wamilik na wakulima wakubwa wanatengenezwa hapa hapa, haya mambo ya kukumbatia kila kitu ndiyo maana tunaambiwa lazima lazima tuoane watu wa jinsi moja.

viongozi wetu hawawezi kujiuzulu
 
Back
Top Bottom