Recent content by No_Worries

  1. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Wapi nitaipata wine bottle corker machine?

    Mashine siyo lazima iwe kama hiyo hapo juu exactly, hata aina nyingine cha msingi iwe na uwezo wa kufanya kazi vema!
  2. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Wapi nitaipata wine bottle corker machine?

    Wakuu nawasalimu! Tafadhali kama unajua duka (Dar es salaam ama Dodoma) ambalo naweza kununua hii mashine ya kuzibia chupa za mvinyo (wine) ambayo kwa Kiingereza wanaiita 'wine bottle corker machine' (pichani) naomba unifahamishe. Nahitaji moja tu kwa ajili ya shughuli zangu nyumbani.
  3. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Januari Makamba awajibu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi

    https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/udsm-wabuni-jiko-lisilotumia-umeme-gesi-mkaa-wala-kuni-3901258 Makamba (hope huwa unasoma hizi nyuzi) haya si ndiyo majiko ya kuayendeleza na kugawa kwa wananchi?
  4. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kilimo cha zabibu, mahitaji, changamoto na faida zake

    Wakuu msimu wa kuvuna zabibu kwa Dodoma ni upi (mwezi wa ngapi ndiyo wakulima wengi huvuna zabibu?)
  5. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya kufanyia grafting vinapatikana wapi?

    Wow! hili naweza hakika kulijaribu! Shukrani kiongozi!
  6. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya kufanyia grafting vinapatikana wapi?

    Asante mkuu kwa tip!!
  7. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya kufanyia grafting vinapatikana wapi?

    Wakuu, Tafadhali kama unajua vifaa kwa ajili ya ku-graft miti michanga ya maembe/parachichi vinapatikana wapi hata nchini Tanzania basi fanya uungwana wa kunitaarifu. Nimekuwa nikisoma/ kuangalia mtandaoni namna ya ku-graft nimeona kuwa ni kazi ninayoweza kuifanya mwenyewe na kupata miti...
  8. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Mtanzania apata mabilioni, Auza mfumo wa kununua Gesi kadri unavyotumia

    https://www.thecitizen.co.tz/news/And-here-comes-Tanzania-s-newest-billionaire-/1840340-5421536-15n2ywd/index.html
  9. No_Worries

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DEDICATION kwa WANANDOA na WATARAJIWA wooote! Tafakari maneno ya wimbo huu!

    One of the best Gospel songs I fell in love with in those good old days! Thank you for the lyrics!
  10. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinahitajika Morogoro

    Mkuu, plot ipo eneo zuri sana, wewe unakiasi gani?
  11. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinahitajika Morogoro

    Mkuu, sogea na town kidogo nikuuzie plot yangu ya kayenzi! maelezo yake yapo hapa chini Eneo ilipo plot: Kayenzi (karibu kabisa na Kayenzi sekondari) - ukiingilia njia ya viwandani - eneo lipo baada ya kupita viwanda. Ni kilomita takribani 2.5 kutoka eneo la kihonda Magorofani. Miundombinu...
  12. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Morogoro

    Update: Biashara haipo tena!! Wakuu habari! Nina plot yangu yenye maelezo yafuatayo naiuza.
  13. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu ya biashara ya kitimoto

    Haramu ndiyo vyalika zaidi! Karibu kwenye ulimwengu wa kitimoto!!
  14. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu ya biashara ya kitimoto

    Hapana mkuu! Niliamua kuachana na wazo hilo - sababu kubwa ni changamoto ya usimamizi - hawa akina dogo hawaaminiki!
  15. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Msaada: Amendments za Public Service Act, 2002

    Asante sana mkuu kwa updates
Back
Top Bottom