Recent content by No signal

  1. No signal

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Toka mwezi wa 10 naitumia haijawai nizengua ata siku moja
  2. No signal

    App ya Dstv stream ina tatizo au ni simu yangu tu?!

    Ndio inaonesha bila shida channel utakazo lipia kwny king'amuzi ndo utakazo ona kwny app ya sim mm naitumia.
  3. No signal

    App ya Dstv stream ina tatizo au ni simu yangu tu?!

    Mpaka uwe umeweka kifurushi kwny king'amuzi ndo na kwny sim utaona channel
  4. No signal

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nina 450k natak nichukue sound bar. Ni kampuni gani nzur nayoweza pata kwahiyo budget
  5. No signal

    Kupenda timu 2 ligi moja

    Napenda Man u na Liverpool naipenda kwasababu ya wachezaji
  6. No signal

    Jezi mpya kwa timu mbalimbali kwa msimu ujao 2024/2025

    Nasubili Uzi Wang pendwa wa Madrid na Man U
  7. No signal

    Ni nini solution la tatizo la internet kama hili?

    Nenda Kwa fundi akutengeneze ni waya wa mtandao utakuwa umelegea mm iliwai ntokea ivo nikatengeza ikaka sawa
  8. No signal

    Mwanza City: The Photo Gallery

    Ndo nin sasa
  9. No signal

    Mwanza City: The Photo Gallery

    Fafanua vizuri lango ipi inahamishwa?
Back
Top Bottom