wakuu kumbe nilikua naukosa uhondo mkuu Chief-Mkwawa je nikiwa napakua kama mafile matatu hivi bila kudisconnect yataendelea kwa spidi ileile? au itagoma ili nianze kukitumia kifurushi effectively
wakuu
Leo nimejionea maajabu kwenye smart yangu nimepakua movie ya 1.08GB kwa dakika kama 27 hivi kwa kutumia bittorent pro cracked apk ambayo niliipata ONHAX na cha ajabu ujumbe wa kumaliza kwa 700mb zenye kasi uliingia ikiwa bado downloading haijamalizika lakini spidi iliendelea vilevile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.