Recent content by No 0ne

  1. No 0ne

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USHOGA: Hali ni mbaya sana Ulaya. Je, Afrika tutapona?

    Itakuwa ni vyema ukanijibu nenda page Fulani utakutana na hiyo habari, kuliko kuniambia zipo nyingi tu mtandaoni, Kama unafahamu kuwa zipo nyingi fahamu kuwa inaweza ikawa ni ngumu pia kwangu kuipata habari husika pengine naweza kuipata inayofanania na hiyo Ila sio yenyewe kabisa.
  2. No 0ne

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ni mahususi kwa vijana wa kiume ndio ambao hupitia hii kitu sana

    Mtagongwa sana nyie😀😀😀
  3. No 0ne

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USHOGA: Hali ni mbaya sana Ulaya. Je, Afrika tutapona?

    Naomba chanzo chako Cha habari mkuu Mshana Jr
  4. No 0ne

    JamiiForums Tanzania JE KWENU KUNA MTU ANA KIWANDA???

    Kama ilivyo sasa tupo kwenye awamu ambapo serikali inasisitza sana juu ya viwanda na uwekezaji mkubwa sana umefanyika na tunaona viwanda Vingi vikijengwa katika mkoa wa Pwani. Lakini wawekezaji wakubwa wamekuwa ni wachina wahindi na wazungu. Wabongo wenye viwanda ni wachache sana. Sababu...
  5. No 0ne

    JamiiForums Tanzania JE UNAJUA KUHUSU UKIMWI KWA KIASI GANI?

    Hata mm hii kitu huwa inaniudhi sana sema Mzungu kaishafanya figisu nyingi sana kuhusu Mtu mweusi, na kwa sababu wameendelea katika maeneo mengi hivyo bado tuna kazi sana kubadilisha hii chuki iliyopo kwa MTU mweusi.
  6. No 0ne

    JamiiForums Tanzania JE UNAJUA KUHUSU UKIMWI KWA KIASI GANI?

    Nimemcheki huyu jamaa sema sijaziamini sana idea zake naona kama ni chuki tu.
  7. No 0ne

    JamiiForums Tanzania JE UNAJUA KUHUSU UKIMWI KWA KIASI GANI?

    Ni vyema kufahamishana mkuu
  8. No 0ne

    JamiiForums Tanzania JE UNAJUA KUHUSU UKIMWI KWA KIASI GANI?

    Hata mm nimepata kusoma kitu kama hicho ila sijawahi kukutana na kisa kama hicho katika mazingira yanayonizunguka
  9. No 0ne

    JamiiForums Tanzania JE UNAJUA KUHUSU UKIMWI KWA KIASI GANI?

    Sio kuwaona tu nimeishawahi kumuuguza mmoja wao.
  10. No 0ne

    JamiiForums Tanzania JE UNAJUA KUHUSU UKIMWI KWA KIASI GANI?

    JE UNAJUA KUHUSU UKIMWI KWA KIASI GANI? Habarini wana Jamii forum… Leo ningependa tuweze kufahamishana machache kuhusu gonjwa hili hatari la UKIMWI kwa kugusia vipengele vichache tu ambavyo vitaweza kuongeza ufahamu wetu kuhusu janga hili ambalo bado linaisumbua dunia nzima, vipengele hivyo ni...
  11. No 0ne

    JamiiForums Tanzania Yamenikuta mwanaume nimekutana na mwanamke msagaji akanitenda

    kwa hiyo unamtafuta akuingizie kidole tena?
  12. No 0ne

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wote wapo sawa kimahaba!

    Wewe huna ulimi utajuaje ladha ya chakula? Tuache cc na mboo zetu tuonje ladha tofautitofauti kuanzia mnato, za moto, baridi mpaka mabwawa ya maji labda ungesema papuchi yoyote ukiingiza lazima ukojoe tungekuelewa ila ila utamu wa k haufanani kabisa.
  13. No 0ne

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi: Jifunze Utaratibu wa Kufuata, Changamoto, Faida na Uzoefu wa Wengine

    Nimeusoma huu uzi nikakosa raha kabisa. Wadau kama kuna mtu mwenye uzoefu ambaye anaweza kupangilia mambo angalau hili suala likafika kwa wahusikia kwa uzito unaotakiwa tutakuwa tumesaidia wengi, lakini kulalamika tu hakuna faida yoyote. #RAISMAGUFULIUJEHAPAKWENYEHUUUZI.
  14. No 0ne

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Wanaume na ulimbukeni wa michezo ya 'tigo'

    Amber Rutty kaolewa na yule jamaa ake bwana Said
  15. No 0ne

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Wanaume na ulimbukeni wa michezo ya 'tigo'

    Acha kuhamasisha huu mchezo ww, unajifanya unashauri watu kuhusu haya maswala kumbe unahamasisha na inaonesha ww mwenyewe ushatatuliwa.
Back
Top Bottom