Arusha mjini walimwambia mh Lema wala asipige kampeni tayari ni mbunge wao tena 2015-2025, ukienda hai kwa mh Mbowe ccm hakunaga kure!
sasa sijui huyu nae kafufukia wapi????
Tatizo watanzania 90% ni maskini wa kutupwa jamani chakula hawana, viatu hawana, nguo hawana, maji hawana, zaidi sana na elimu hawana n.k.
sasa mtu wa namna hiyo hata ukimpa 1000Tshs atakupa kadi yake. Hapa tunataka sasa tuione kazi ya tume ya uchaguzi NEC!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.