Pole sana dada kwa uliyopitia, maisha ni 10% ya Yale tunapitia na 99% ya vile tunaamua kurespond Yale tuliyopitia, sis tumesoma story tumeumia lakin wew uli experience hayo yote Tena ukiwa peke Yako. Hatuna nafasi sana ya kuweza kukushaur nin Cha kufanya sababu mwitikio wako kwa Yale uliyopitia...
Ni vile tu watu tumezoea kuona kawaida baada ya mtu fulan kutelekeza familia/watoto, tunasema mbona fulani hajapatwa na kitu na tena wa/mwanae alipokua amekuja kumtafuta. Lakini tukumbuke hao wa/mtoto ni viumbe hai( mwanadam ) mwenye nyama na damu, ameumbwa kwa kusudi maalum kabisa. je unadhani...
Mim naunga mkono kwenda kujifunza biashara as waasis wake bado wapo. Lkn hii ni kama anajielewa maana atashika hela akiwa mdogo so asipokua makini anaweza kupotea.
Naamin Bw Paschal pia aliwashangaa Ndg zake kwa kile walichokulipa lknMu gu hubarik watu kupitia watu, maisha yetu yanategemea sana uhusiano kat yako na Mungu na vile vile kat yako na binadam wenzako,
Najaribu kuwaz kwa mazingira yale ya stand alaf urudishiwe fedha zako, kweli ni muujiza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.