Wadau,
Binafsi natamani kuwa Katibu wa Mbunge. Na iwe ni Mbunge mwenye Jimbo.
Ila ningependa kujua ni vigezo gani vinatumika ili kupata nafasi kama hiyo.
Nimeuliza kwa nia njema kabisa, Naomba lugha za kejeli ziwekwe pembeni.
Huyu Profesa anajiaibisha sana kwenye vyama vya upinzani (Michepuko)!! Anadhalilisha pia taaluma yake.
Wasomi kuwa kwenye vyama vya upinzani inaleta UKAKASI sana!! Na kila kukicha wanaaibika tuu
Matendo mabovu ya Zitto yalianza kabla hata ya waraka kukamatwa, mkuu hebu fumbua macho kidogo. Transaction za hela alizofanya, maongezi ya mitandao na msg vilikuwa ni ushahidi.
Hivi unazijua kazi za Udiwani??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.