Kamanda wakili Albert Msando ni diwani wa kata ya mobogini moshi vijijini kwa tiketi ya chadema. Nilijua jina hili nilipofika mabogini kwa shughuli mbalimbali nikiwa na kombati za chama, mara vijana wengi wakanizunguka na kuniuliza kama ninamfahamu Albert Msando diwani wao. Nikawaambia simfahamu kwani sijawahi kukutana naye na nilikuwa sipo kipindi cha uchaguzi.
Wakaniambia ni mwaka sasa tangia tumchague hatujamwona. Nilisikitika sana, wakaniambia ni wakili wa kujitegemea na ofisi zake walikuwa wanadhani zipo Arusha hivyo anaishi AR.
Nikataoa ripoti kwa viongozi wa chama moshi kuwa tuna diwani ambaye hajulikani alipo, na ofisini hafiki.
Mabogini ni kijiji kinachotegemea zao la mpunga kutokana na mradi wa mwaka 1985 chini ya ufadhili wa japan. Zao hili linaathirika kwa kiasi kikubwa kwa ukosefu wa maji, maji ya umwagiliaji hayatoshi. Mradi huu haukuzingatia uvunaji maji na uhifadhi wake kutokana na mahitaji.
Nimeshauri mara nyingi kujengwa kwa mabwawa makubwa mara baada ya vyanzo vya maji yanaoyoweza kukidhi umwagiliaji huu kwa msimu. Gharama za mabwawa haya ni ndogo ukilinganisha na hasara wanayopata wakulima ambapo kuna wananchi zaidi elfu arabaini kwenye kata ya Mabogini na Kahe wanaotegmea kwa kiwango kikubwa kilimo hiki.
Mashamba haya kwasasa yanakosa uzalishaji kama ulivyoakinishwa hapo awali. Siioni mtu yeyote kwa dhati anayetaka kutatua tatizo hili kwa kina. Nilimtafuta sana Msando ili niweze kumshauri jinsi ya kutatua tatizo hili kama diwani ambaye wapiga kura wake ni waathirika wakubwa.
Mabogini ni kata iliyotengwa na mbunge wa Moshi vijijini Cyril sijui nani. Barabara inayounganisha mabogini na pasua then Mjini moshi iko kama imepigwa bomu. Barabara hii ni kiunganisha kizuri sana cha Moshi mjini, pasua, Mabogini, Chekereni, Kahe na Kileo. Barabara hii wanakaa wakzi zaidi ya elfu 50 wanaunganisha inayotaka kuwa jiji la moshi.
Mipango miji bado ni shaghalabaghala haieleweki.
Kwanini ninamlaumu Wakili Albert Msando, Kamanda huyu ni kijana msomi hivyo wananchi walifikiri wanaingiza chachu ya mabadiliko fikra na maono mapya. Namuomba akimaliza kutetea wateja wake najua ni kazi kwani ndio kazi ya mwanasheria kutetea wahalifu ili watendewe haki, arudi kwenye kata yake tutatue matatizo ya wananchi.
Kwa Niaba ya wakazi wa Mabogini-tunamtafuta Diwani.
Msando ni diwani kwa tiketi ya CDM
Wewe ni kilaza unalalamika na majibu unajipa mwenyewe sasa kama mbunge wako kashindwa kuwasaidi unategemea nini kutoka kwa diwani?umesema amepote nimekuthibitishia kwa picha anajitahidi kwa nafasi yake kama diwani kuwa karibu na wananchi wake inawezekana kwa maelezo yako wewe ndio umepotea kwenye kata yako na hujuwi kinachoendelea shule za kata ya mabogini amejitahidi kusaidi kujenga matundu ya vyoo kwa pesa zake na si za halimashauri wakati wa kampeni alituaidi zaidi kusaidia upande wa elimu na hilo analifanya.
Uliyosema kuhusu wakulima,barabara ni kweli kabisa na hta kama Msando atagombea tena kupitia CDM hataweza kushinda.Watu wanajuta kuacha kumchagua KAPAMA wa CCM kipindi kile.
!
!
hata sisi huku tunamtafuta mbunge wetu kapotea tangu mwaka 2005
Wewe umesaidia nini so far huko?si gombea basi na wewe huo udiwani?watu wengine visilani kweli..utadhani diwani ni Rais?Mradi tunaishi nao miaka zaidi ya 25 sasa, alikagua nini hapo? Wakati mradi unapanuliwa mwanzoni mwa miaka ya 90 tulisema tunahitaji vyanzo vya uhakika vya maji pamoja na kuhifadhi maji.
Kuna ngonjera za uhaba wa maji, zimekuwepo kwa muda sasa, na Msando alitumia hiyo kushinda tunataka majibu sasa. Kilimo hiki kilikuwa cha kienyeji kabla ya kufanywa cha kisasa, wakati ni sehemu ndogo ilikuwa ina tumika kulimia mpunga. Upanuzi ukahitaji uwezo mkubwa wa maji hasa kwenye vyanzo, ila urahisi ni kuvuna maji ya mvua, na chem chem asilia kwa kuyakusanya kwa kutumia mabwawa makubwa ya kisasa.
Tunachohitaji ni uwakilishi wa kusimamia maendeleo yetu kwa uhakika, tunajua Mbunge hawezi kutusaidia kwani ameweka wazi hatuhitaji. Tunahitaji Diwani tutakafanya naye kazi na kufufua kilimo hiki na kuongeza pato la wananchi hawa. Huu upuuzi wa kumpiga mtu picha na kusema anakagua hewa huuu .....
Pili muulize hiyo siku Msando alipofika kwenye hilo kalavati la Rau river alipitia barabara gani? Aeleze kwanini wanaendelea kuifanya barabara ya mabogini mtaro wa maji ya mvua.------loading
Kamanda wakili Albert Msando ni diwani wa kata ya mobogini moshi vijijini kwa tiketi ya chadema. Nilijua jina hili nilipofika mabogini kwa shughuli mbalimbali nikiwa na kombati za chama, mara vijana wengi wakanizunguka na kuniuliza kama ninamfahamu Albert Msando diwani wao. Nikawaambia simfahamu kwani sijawahi kukutana naye na nilikuwa sipo kipindi cha uchaguzi.
Wakaniambia ni mwaka sasa tangia tumchague hatujamwona. Nilisikitika sana, wakaniambia ni wakili wa kujitegemea na ofisi zake walikuwa wanadhani zipo Arusha hivyo anaishi AR.
Nikataoa ripoti kwa viongozi wa chama moshi kuwa tuna diwani ambaye hajulikani alipo, na ofisini hafiki.
Mabogini ni kijiji kinachotegemea zao la mpunga kutokana na mradi wa mwaka 1985 chini ya ufadhili wa japan. Zao hili linaathirika kwa kiasi kikubwa kwa ukosefu wa maji, maji ya umwagiliaji hayatoshi. Mradi huu haukuzingatia uvunaji maji na uhifadhi wake kutokana na mahitaji.
Nimeshauri mara nyingi kujengwa kwa mabwawa makubwa mara baada ya vyanzo vya maji yanaoyoweza kukidhi umwagiliaji huu kwa msimu. Gharama za mabwawa haya ni ndogo ukilinganisha na hasara wanayopata wakulima ambapo kuna wananchi zaidi elfu arabaini kwenye kata ya Mabogini na Kahe wanaotegmea kwa kiwango kikubwa kilimo hiki.
Mashamba haya kwasasa yanakosa uzalishaji kama ulivyoakinishwa hapo awali. Siioni mtu yeyote kwa dhati anayetaka kutatua tatizo hili kwa kina. Nilimtafuta sana Msando ili niweze kumshauri jinsi ya kutatua tatizo hili kama diwani ambaye wapiga kura wake ni waathirika wakubwa.
Mabogini ni kata iliyotengwa na mbunge wa Moshi vijijini Cyril sijui nani. Barabara inayounganisha mabogini na pasua then Mjini moshi iko kama imepigwa bomu. Barabara hii ni kiunganisha kizuri sana cha Moshi mjini, pasua, Mabogini, Chekereni, Kahe na Kileo. Barabara hii wanakaa wakzi zaidi ya elfu 50 wanaunganisha inayotaka kuwa jiji la moshi.
Mipango miji bado ni shaghalabaghala haieleweki.
Kwanini ninamlaumu Wakili Albert Msando, Kamanda huyu ni kijana msomi hivyo wananchi walifikiri wanaingiza chachu ya mabadiliko fikra na maono mapya. Namuomba akimaliza kutetea wateja wake najua ni kazi kwani ndio kazi ya mwanasheria kutetea wahalifu ili watendewe haki, arudi kwenye kata yake tutatue matatizo ya wananchi.
Kwa Niaba ya wakazi wa Mabogini-tunamtafuta Diwani.
Msando ni diwani kwa tiketi ya CDM
Wewe umesaidia nini so far huko?si gombea basi na wewe huo udiwani?watu wengine visilani kweli..utadhani diwani ni Rais?
Kamanda wakili Albert Msando ni diwani wa kata ya mobogini moshi vijijini kwa tiketi ya chadema. Nilijua jina hili nilipofika mabogini kwa shughuli mbalimbali nikiwa na kombati za chama, mara vijana wengi wakanizunguka na kuniuliza kama ninamfahamu Albert Msando diwani wao. Nikawaambia simfahamu kwani sijawahi kukutana naye na nilikuwa sipo kipindi cha uchaguzi.
Wakaniambia ni mwaka sasa tangia tumchague hatujamwona. Nilisikitika sana, wakaniambia ni wakili wa kujitegemea na ofisi zake walikuwa wanadhani zipo Arusha hivyo anaishi AR.
Nikataoa ripoti kwa viongozi wa chama moshi kuwa tuna diwani ambaye hajulikani alipo, na ofisini hafiki.
Mabogini ni kijiji kinachotegemea zao la mpunga kutokana na mradi wa mwaka 1985 chini ya ufadhili wa japan. Zao hili linaathirika kwa kiasi kikubwa kwa ukosefu wa maji, maji ya umwagiliaji hayatoshi. Mradi huu haukuzingatia uvunaji maji na uhifadhi wake kutokana na mahitaji.
Nimeshauri mara nyingi kujengwa kwa mabwawa makubwa mara baada ya vyanzo vya maji yanaoyoweza kukidhi umwagiliaji huu kwa msimu. Gharama za mabwawa haya ni ndogo ukilinganisha na hasara wanayopata wakulima ambapo kuna wananchi zaidi elfu arabaini kwenye kata ya Mabogini na Kahe wanaotegmea kwa kiwango kikubwa kilimo hiki.
Mashamba haya kwasasa yanakosa uzalishaji kama ulivyoakinishwa hapo awali. Siioni mtu yeyote kwa dhati anayetaka kutatua tatizo hili kwa kina. Nilimtafuta sana Msando ili niweze kumshauri jinsi ya kutatua tatizo hili kama diwani ambaye wapiga kura wake ni waathirika wakubwa.
Mabogini ni kata iliyotengwa na mbunge wa Moshi vijijini Cyril sijui nani. Barabara inayounganisha mabogini na pasua then Mjini moshi iko kama imepigwa bomu. Barabara hii ni kiunganisha kizuri sana cha Moshi mjini, pasua, Mabogini, Chekereni, Kahe na Kileo. Barabara hii wanakaa wakzi zaidi ya elfu 50 wanaunganisha inayotaka kuwa jiji la moshi.
Mipango miji bado ni shaghalabaghala haieleweki.
Kwanini ninamlaumu Wakili Albert Msando, Kamanda huyu ni kijana msomi hivyo wananchi walifikiri wanaingiza chachu ya mabadiliko fikra na maono mapya. Namuomba akimaliza kutetea wateja wake najua ni kazi kwani ndio kazi ya mwanasheria kutetea wahalifu ili watendewe haki, arudi kwenye kata yake tutatue matatizo ya wananchi.
Kwa Niaba ya wakazi wa Mabogini-tunamtafuta Diwani.
Msando ni diwani kwa tiketi ya CDM
Hivi hakuna mtu mwenye uwezo wa kukopy mojawapo ya hii mikataba mikubwa na kuiweka kwenye mtandao?
Kamanda mimi mzaliwa wa Mabogini, nataka Msando aje hapa aseme ni kipi amekifanya na hivyo vyoo viko mtaa gani. AU akanushe kimoja nilicho andika. Aseme mara ngapi kahudhuria vikao vya madiwani achana vya kata. Huko facebook wananchi wa Mabogini hawawezi kusoma, hakuna hata internet Cafe hapa.
Naona watu wameanza kampeni za udiwani,bahati mbaya hawajui kuwa wapiga kura wa Mabogini hawapo humu JF. ni westage of time kwao.
Binafsi siungi mkono Msando kugombea Udiwani,kama watu wa Division 5 kama Sugu na Lema ni wabunge kwanini Wakili awe diwani?Msando ebu tafuta Ubunge,mwachie kinepinepi huo udiwani wa Mabogini,chuki binafsi isije muua bure.[/QUOTE
weee koma tupo nipo mvuleni village
Mradi tunaishi nao miaka zaidi ya 25 sasa, alikagua nini hapo? Wakati mradi unapanuliwa mwanzoni mwa miaka ya 90 tulisema tunahitaji vyanzo vya uhakika vya maji pamoja na kuhifadhi maji.
Kuna ngonjera za uhaba wa maji, zimekuwepo kwa muda sasa, na Msando alitumia hiyo kushinda tunataka majibu sasa. Kilimo hiki kilikuwa cha kienyeji kabla ya kufanywa cha kisasa, wakati ni sehemu ndogo ilikuwa ina tumika kulimia mpunga. Upanuzi ukahitaji uwezo mkubwa wa maji hasa kwenye vyanzo, ila urahisi ni kuvuna maji ya mvua, na chem chem asilia kwa kuyakusanya kwa kutumia mabwawa makubwa ya kisasa.
Tunachohitaji ni uwakilishi wa kusimamia maendeleo yetu kwa uhakika, tunajua Mbunge hawezi kutusaidia kwani ameweka wazi hatuhitaji. Tunahitaji Diwani tutakafanya naye kazi na kufufua kilimo hiki na kuongeza pato la wananchi hawa. Huu upuuzi wa kumpiga mtu picha na kusema anakagua hewa huuu .....
Pili muulize hiyo siku Msando alipofika kwenye hilo kalavati la Rau river alipitia barabara gani? Aeleze kwanini wanaendelea kuifanya barabara ya mabogini mtaro wa maji ya mvua.------loading