Rushwa ni kitendo cha kumzawadia mtu kitu ukiwa na malengo ya kuwezeshwa na mhusika huyo, unamtunuku kiongozi shahada then unamuomba fedha, walahi akikupa hiyo ni SIBIRO (kwa wanaojua tu).
Nimewaza sana nikapata jibu kuwa kweli CHADEMA ni ngangari, hebu fikiria mtihani huu wanaopitia viongozi wa juu karibu wote wa CHADEMA
Kwanza karibia wote wana kesi mahakamani, sasa ona hili,
Wakiwa mahakamani bungeni wanaitwa watoro,
Wakiwa bungeni mahakamani wanaitwa watoro,
wakifanya vikao...
Nimejaribu kuwaza na kuwazua nikajiridhisha pasi na shaka kuwa waliomnywesha Magufuli sumu ni miongoni mwa waliokuwa mawaziri katika serekali ya MKAPA, anayewakumbuka mawaziri wa MKAPA anikumbushe nijaribu kuangalia sura za sumu sumu tafadhali,
Mawazo mgando hayo kutoka lumumba,wapinzani tukikamata dola tunaafanya kama kenya,majengo yooote yaliyokuwa yanaitwa ya KANU yalitwaliwa na serikali hivyo kila chama kikaanza upya,hivyo hivyo tz nako tunakamata ofisi zote na maeneo ya wazi yoote yanazoitwa ya ccm yanakuwa mali ya serikali nao...
Usilojua ni usiku wa giza,wachaga wanapatikana moshi,manispaa ya moshi ni ya chadema lkn 75 ya madiwani wa chadema sio wachaga wachaga hawazidi wanne huo ukabila uko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.