Recent content by nkungu mwere

  1. N

    Basi laacha njia na kugonga magari saba Moshi, watu 15 wajeruhiwa

    Laiti ungejua kilichotokea kwenye gari,na alichofanya dereva usingepiga ramli zako, Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    Wamiliki wa mabasi jipangeni ujio wa treni Dar to Moshi

    Pia mkumbushe kuwa treni ipo mikoani dar mwanza,dar mbeya kanda ya kati nk na bado mabasi yapo
  3. N

    Rushwa ni nini?

    Rushwa ni kitendo cha kumzawadia mtu kitu ukiwa na malengo ya kuwezeshwa na mhusika huyo, unamtunuku kiongozi shahada then unamuomba fedha, walahi akikupa hiyo ni SIBIRO (kwa wanaojua tu).
  4. N

    Bunge letu, Mahakama zetu na Dola Vs CHADEMA

    But chama ni watu,na watu ndio hufanya kiitwe chama,,,,upo!!
  5. N

    Bunge letu, Mahakama zetu na Dola Vs CHADEMA

    Nimewaza sana nikapata jibu kuwa kweli CHADEMA ni ngangari, hebu fikiria mtihani huu wanaopitia viongozi wa juu karibu wote wa CHADEMA Kwanza karibia wote wana kesi mahakamani, sasa ona hili, Wakiwa mahakamani bungeni wanaitwa watoro, Wakiwa bungeni mahakamani wanaitwa watoro, wakifanya vikao...
  6. N

    Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

    Nimejaribu kuwaza na kuwazua nikajiridhisha pasi na shaka kuwa waliomnywesha Magufuli sumu ni miongoni mwa waliokuwa mawaziri katika serekali ya MKAPA, anayewakumbuka mawaziri wa MKAPA anikumbushe nijaribu kuangalia sura za sumu sumu tafadhali,
  7. N

    Maoni ya Tundu Lissu kisheria juu ya CAG ndio muarubaini unaosubiriwa

    Endelea kuwaita mabeberu,ila siku wakikunyima ARV unazotumia ndio utajua baada ya mungu ni mzungu
  8. N

    Angalia mwongozo wa kanuni uliyowachinja Wapinzani

    Ajabu hata wenyeviti waliomaliza muda wao nao uchaguzi huu wameshindwa kujaza fomu zao!!!
  9. N

    Uhai wa ndege ni miaka 20-30 ATCL italeta tu faida

    Kwa hivyo bado miaka 16/26 tu,hii minne tumepata faida kiasi gani?
  10. N

    Meya Jacob amjibu Makonda juu ya upotoshaji wa Kituo cha Afya

    Mjomba umzima kweli,unataka meya ajibu nini zaidi ya alichoeleza,?
  11. N

    Meya Jacob amjibu Makonda juu ya upotoshaji wa Kituo cha Afya

    Umemuelewa meya au ni wale wale?
  12. N

    Meya Jacob amjibu Makonda juu ya upotoshaji wa Kituo cha Afya

    Ungekuwa na akili ungejua meya kasemaje,bahati mbaya unaimba wimbo wa kikongo
  13. N

    Upinzani Subirini kwanza nchi iendelee, ndio Wananchi tujaribu kuwapa nchi mjaribu kuiongoza

    Mawazo mgando hayo kutoka lumumba,wapinzani tukikamata dola tunaafanya kama kenya,majengo yooote yaliyokuwa yanaitwa ya KANU yalitwaliwa na serikali hivyo kila chama kikaanza upya,hivyo hivyo tz nako tunakamata ofisi zote na maeneo ya wazi yoote yanazoitwa ya ccm yanakuwa mali ya serikali nao...
  14. N

    Wagombea Serikali za mitaa CHADEMA na ACT Wazalendo wanapatikanaje? Mbona sioni kura za maoni zikifanyika?

    Usilojua ni usiku wa giza,wachaga wanapatikana moshi,manispaa ya moshi ni ya chadema lkn 75 ya madiwani wa chadema sio wachaga wachaga hawazidi wanne huo ukabila uko wapi?
Back
Top Bottom