Ndoo maana hakuna mgombea binafsi unagombea kupitia chama uwe Rais,uwe Mbunge,Diwani na hta mwenyekiti wa mtaa Sasa chama ndicho kinakupa nafasi ya kugombea ili uende kutekeleza Yale ambayo wao kama chama wanataka ukayasimamie na ukipata nafasi hiyo watakufuatilia Kwa ukaribu kujua unafanya Yale...
Watu mnajitoa ufahamu humujui kuwa nguvu ya chama inaanzia Kwa wananchi baada ya kukichagua ndipo chama kinakaa chini kuunda serikali hivyo hakuna Rais,waziri,Rc,DC na wengine mwenye ubavu wa kukikoromea Chama ndoo maana Rais Kwa madaraka yke moja Kwa moja anakuwa mwenyekiti wa chama ili kulinda...
Hii benki inatumia jina tu wakulima ila ilipaswa iitwe jina benki ya mabepari mm nimeomba mkopo miaka zaidi ya miwili nimeambulia patupu na hakuna kusikilizwa sijui inakopesha wakulima gani kama mm ninalima shamba la zaidi ya ekari 40 Bado nikaonekana sina sifa ilinishangaza Kwa kweli na...
Nipo Mtwara huu Ni mwaka wa nne ww una kasumba ya dharau tu kwa Wana Mtwara umeongea porojo nyingi sijajua lengo lako Ni nn kiufupi Mtwara mm nashirikiana na wenyeji vizuri SNA mpka Sasa Nina ekari 40 ya mikorosho nimeipanda mwenyewe kwa msaada wa wenyeji hivyo nawaheshimu SNA .
Mm nililima ekari kumi kutumia hiyo mbegu ya hysun 33 niliambulia gunia 22 yaan nilipata hasara tupu ujue humu watu wengine wanashawishi ili ununue mbegu zao wao wapige hela.alizeti inachangamoto kubwa wakati wa kupukuchua inakubidi uajit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.