Recent content by nkonges100

  1. N

    Tatizo la vidonda puani

    Habarini jaman!! Samahan naomba kuuliza hili litakuwa n tatizo gani maana toka jana nmekuwa na vidonda puan sijui shida ni nini... yaani ndani ya pua. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    Utaratibu ukoje kuhusu kupoteza laini ya simu?

    Shukran Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    Maumivu ya tumbo baada ya mimba kuharibika yanaacha baadaya muda gani?

    Hzo infections n zp na znaweza tibiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. N

    Maumivu ya tumbo baada ya mimba kuharibika yanaacha baadaya muda gani?

    Na hapo tiba yake n nn Sent using Jamii Forums mobile app
  5. N

    Maumivu ya tumbo baada ya mimba kuharibika yanaacha baadaya muda gani?

    Habarini za mida, naomba kuuliza maumivu ya tumbo huchukua muda gani baada ya kusafishwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. N

    Utaratibu ukoje kuhusu kupoteza laini ya simu?

    Habarin za mida. Nina laini yangu ya Tigo imepotea na simu ya kitochi, sasa nngependa kujua procedure za kuirudisha namba yangu na nilikuwa nimeshaisajili kwa alama za vidole. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. N

    Kutoa mimba

    Habarin za mida polen na majukumu nilikuwa napenda kujua kuna demu ametoa mimba alipewa kidonge kimoja cha kutoa na kingne akaanbiwa inabidi akiweke huku chin.Ila hakubahatika kukiweka ila leo akaenda kushafishwa na akaambiwa j5 arud kuweka kidonge uko chini . Lakin shda tumbo linamyonga hatar...
  8. N

    Tukumbushane zile "SCHOOL MOTTOS"

    Primary : st Benedict STRIVE FOR EXCELLENCE Secondary:Lutheran junior seminary THE FEAR OF THE LORD IS THE BEGINNING OF KNOWLEDGE Sent using Jamii Forums mobile app
  9. N

    Naomba kujua sababu ya tatizo la kizunguzungu

    Ndo nn mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. N

    Naomba kujua sababu ya tatizo la kizunguzungu

    Habari za asuhuh jamani nina tatizo la kizunguzungu kila ninapo fanya shughuli yoyote kwa muda nini shida Sent using Jamii Forums mobile app
  11. N

    Hapa tatizo nini wadau?

    Habari wadau ni miezi sasa nimekuwa nasumbuliwa na kichwa na kizunguzungu nikifanya shughuli yoyote au kazi yoyote kwa muda kidogo. Shida ni nini wadau? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom