Recent content by nkoge

  1. N

    JamiiForums Tanzania Tusiwatukane viongozi wetu, siyo utamaduni wetu na ni Jambo baya mno

    Je yupo mtu anaweza kuwatukana wazazi wake....!? Mama zake wadogo...!? Mama zake wakubwa...!? Baba zake wadogo na wakubwa...!? Mashangazi na wajomba...!? Kwa utamaduni wetu wa kitanzania,Hawa wote ni kundi la wazazi.Hata wanapokuwa wamekwenda kinyume Kuna namna ya kuwashitaki kwa staha na...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

    Mwanaume pia kama ilivyo kwa mwanamke anaweza kutumia Antibiotics kujitibu.Lakini kwa namna dawa nyingi za hosp zinavyofeli katika kutatua changamoto hizi ndiyo maana ugonjwa huu umekuwa mwingi na sugu kwa watu wengi,ni vile tu watu hawasemi hadharani,lakini katika wanawake 10 wanawake 5...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

    Hiyo ni dalili mojawapo ya magonjwa ya PID.Yeye binafsi anajua na yawezekana alishachoma sindano,kumeza vidonge na kupaki kila aina ya dawa lakini huwa inarudi.Usimlaumu wala kumfikria vibaya maana ni magonjwa kama magonjwa mengine na mwanamke yeyote anaweza kupata,tena kwa sasa wanawake wengi...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Ni kweli maziwa yanaweza kuongeza ukubwa wa tatizo kwa sababu yanaweza kutengeneza asidi zaidi kutegemeana na aina ya vyakula anavyokula mgonjwa.Inashauriwa kutumia maziwa freshi huku mgonjwa akiendelea kujitibu kwa sababu Maziwa huleta ahueni ya muda mfupi kwa kutengeneza utando juu ya kuta za...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Suala la kutibu nguvu za kiume ni process,siyo jambo la kumpa tu mtu dawa kwa sababu amesema anachangamoto hiyo.Lazima lihusishe kufahamu chanzo cha tatizo ili umtibu kwa ufanisi na apone kabisa.Vivyo hivyo katika uzazi kwa wanawake lazima ujue tatizo la kutoshika mimba ama wengine wanabeba...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Kwa mlonge ulioandaliwa vyema ni kijiko kidogo cha chai katika maji moto,mara tatu kwa kutwa.Unatumia baada ya kula.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Ukosefu wa nguvu za kiume ni matokeo ya mambo mengi kwenye mfumo wa mwili.Tunapotibu tatizo hili lazima kujua chanzo hasa ili liweze kutibika vizuri.Mfano magonjwa kama presha,kisukari,tezi dume huathiri moja kwa moja mfumo wa nguvu za kiume.Kuna vitu kama lehemu kwenye damu,mzunguko hafifu wa...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Siku ukiishiwa nguvu za kiume nitakusaidia kurejesha lakini cha msingi achana kabisa na hilo zoezi litakugharimu.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Inategemeana ni ugonjwa upi huo wa ngozi.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Vidonda vya tumbo inategemeana na kisababishi:Vingine ni kuzidi kwa asidi tumboni inayosababisha kukwangua kuta za tumbo na kusababisha vidonda vyenye maumivu makali,lakini pia inaweza kuwa ni mdudu(bakteria) anayesababisha madonda ya tumbo(H.pyrol) Fanya mambo haya kwa sasa 1.Jizuie kutumia...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Hakuna dawa zaidi ya kuamua kuachana na roho ya kupiga punyeto.Kilichopo ni dawa ya kutibu madhara yanayoachwa na punyeto,ila kuacha ni maamuzi yako.Tafadhali amua kuacha sasa!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Pole sana! Jifunze hekima itakusaidia katika maisha yako.Naamini kuna siku utakuja na shida ambayo huko hosp utakuwa umeshindwa kuitatua na nitakusaidia.Kuna wengi walikosa hekima kama wewe pia.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

    Habari ya leo! Niko hapa kukusaidia wewe mwenye ugonjwa sugu. Kama una ugonjwa wowote ambao umehangaika nao kwa muda mrefu na umepambana sana kutafuta tiba mbalimbali na bado hujafanikiwa, tafadhali andika hapa tujadiliane kuhusu namna unavyoweza kupata ufumbuzi. Nina utaalamu na uzoefu mkubwa...
Back
Top Bottom