Wakuu habarini za wakati huu nahitaji kujua ni wapi zinapatikana mbegu bora na zilizothibitishwa kitaalamu za choroko maana kwa sisi wakulima wa pamba ni kheri tulime choroko tu
Aiseee mimi mwenyewe hili tatizo linanisumbua sana tangia mwezi 10 dawa ambazo nimetumia mpaka sasa predrisolin, loratadrn, hydrocortisone cream, skderm cream, celestamine, dexamethasone sindano 6 lakini holaaa yaani ninapotumia dawa tatizo linapungua Ila ukimaliza dozi tu tatizo linarudi...
Sasa elfu 15 pesa ndogo hiyo nishawahi kupigwa kama 780k kwa siku moja halafu hela hiyo nilikuwa nadaiwa na mtu nilipanga kumpa siku ile siju jini gani lilinipeleka kwenye moja ya shop za kubetishia hapa mjini mwanza weee kuanzia siku ile huwa sitamani hata kuingia kwenye lile jengo na nikipita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.