Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Mungu ampe wepesi mama yetu huko gerezani.
Lingine hili hapa...! STUPIDLYSo sad. Pumzika kwa amani kijana
Huyo mama ingebidi apewe adhabu ya kifo.
So sad. Pumzika kwa amani kijana
Huyo mama ingebidi apewe adhabu ya kifo.
Mungu ampe wepesi mama yetu huko gerezani.
Nimeshyuka kuona coment yakevipi unamtetea kijana na wewe ni wale kina James delicious
Nimesema kijana akapumzike kwa amani ndoto na maisha yake yamekatishwa bila ya yeye kuwa na hatia yoyote.vipi unamtetea kijana na wewe ni wale kina James delicious
Mama ni muuaji FULLSTOP ni wa kuuliwa na yeyeLingine hili hapa...! STUPIDLY
Anastahili kunyongwa hadi kufa huyo mama au kupigwa sindano ya sumu kaliCecero
Huoni aibu na ni ujinga huo wa kutetea ushoga?... mahakama badala imfunge miezi kadhaa kupotezea tu eti miaka 24! Poor court.
Safi sana mama kwa kufanya maamuzi ya kimama mzazi
Dhambi za kuuliwa zipo nyingi tu kwenye agano la kale ikiwemo uzinzi.Leviticus 20:13: If a man lies with a male as with a woman, both of them have committed an abomination; they shall be put to death; their blood is upon them.
Amuelekeze nini?, unajuaje kama alishamuonya mara kadhaaa?, wewe ukiwa na mtoto wa aina hiyo utafurahi?, usikoment kama chizi fulani au wewe ndo wale waleAcha afungwe akitoka huko kashakuwa kikongwe anafikia kaburini! Mtoto mdogo badala amuelekeze anamuua! pumbavu!
Aisee inaumiza sana sanaaMtu unamuomba Mungu uzae mtoto wa kiume halafu baadaye anakuja kuolewa
inasikitisha sana. kumbe jf wafirwaji mpo. Mungu tunusuru sisi pamoja na vizazi vyetuAcha afungwe akitoka huko kashakuwa kikongwe anafikia kaburini! Mtoto mdogo badala amuelekeze anamuua! pumbavu!
Aiseeee bila shaka wewe ni punga FULL STOPNimesema kijana akapumzike kwa amani ndoto na maisha yake yamekatishwa bila ya yeye kuwa na hatia yoyote.
Huyo mama yake ni muuaji tu kama wauwaji wengine na ingebidi ANYONGWE HADI KUFA!