Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka...
Hujui vizuri historia ya mji wa Singida umetudanganya, kwanza asili ya jina Singida si mtumbwi,ni aina ya urembo wa wanawake uliokuwa unapatikana ziwani uliitwa masiingida walivaa shingoni ndo ziwa likaitwa Singida
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliposiki gari ya matangazo ikitangazia wananchi kesho kwenda kumpokea Kagasheki airport kwa maandamano hadi uhuru pltfm na yy jioni alione akipita na kuwaambia hajajiuzulu
Huyo mganda ni mwongo, Uganda miundo mbinu ya barabara ni mibov hasa vijijini, mwaka jana nikuwa huko hata umeme mashule yamechaa kiujumla tunawazidi mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.