Recent content by Nkhoompoo

  1. N

    Visa vya matapeli na watoto wa mjini

    Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka...
  2. N

    Ubaguzi wa walimu wasio wazawa washamiri idara ya elimu sekondari Bukoba.

    Niulize mimi mnyamahanga naishi nao nafanya nao kazi miaka sasa
  3. N

    Wahenga wenzangu njoo tukumbushane vipindi vilivyobamba RTD enzi hizoo

    Pwagu na pwaguzi, malenga wetu, salamu za majeshi,mkoa kwa mkoa. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. N

    Historia ya mji wa Singida

    Hujui vizuri historia ya mji wa Singida umetudanganya, kwanza asili ya jina Singida si mtumbwi,ni aina ya urembo wa wanawake uliokuwa unapatikana ziwani uliitwa masiingida walivaa shingoni ndo ziwa likaitwa Singida Sent using Jamii Forums mobile app
  5. N

    Wapinzani tuna safari ndefu, Lowassa ni threat kweli

    Si utani EL kwa sasa ni gumzo kila kona kama ni nyota imewaka, inang'aa CCM wakija kujimix wakamtema wajue ndio utakuwa mwisho wake.
  6. N

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    New Arusha, BORN CITY, BLUE LINE, HAJI'S TANGANYIKA BUS
  7. N

    Michapio hatari

    Mfupa hauna ulimi
  8. N

    Taasisi kongwe zinazotumia jina la Tanganyika

    Tanganyika Instant Coffee co ltd
  9. N

    Meya wa Bukoba (Dr. Amani) akanusha kujiuzulu!

    Aliposiki gari ya matangazo ikitangazia wananchi kesho kwenda kumpokea Kagasheki airport kwa maandamano hadi uhuru pltfm na yy jioni alione akipita na kuwaambia hajajiuzulu
  10. N

    Mzee Aboud Jumbe aombwe radhi

    Hivi jamani naombo niulize huyu mzee bado yuko hai! mi najuaga alisha RIP
  11. N

    Tanzania inazidiwa miundo mbinu ya barabara kiubora na Uganda!!

    Huyo mganda ni mwongo, Uganda miundo mbinu ya barabara ni mibov hasa vijijini, mwaka jana nikuwa huko hata umeme mashule yamechaa kiujumla tunawazidi mengi
  12. N

    Mhudumu wa Mochuari "amchimba mkwara" waziri

    Hata kama hatafia Mby ujumbe ameupata na ikatokea kwa mwingine mwenye hadhi ya juu.
Back
Top Bottom