Mulongo ni mjita wa mwibara sio mkurya huyo wakurya huwa hawana unafiki.mulongo aishi hotelini anaishi ktk nyumba ya mkurugenzi wa Vick fish iliyopo capripoint baada ya serikali kuzidiwa na bili ya hoteli ya kifahari ya malaika aliyokuwa anaishi
Sema utamkumbuka jk usitusemee wengine BVR zenyewe hakuna maandalizi zoezi linaendeshwa kwa pupa hakuna wataalam na vifaa vya kutosha watu tumehangaika ktk foleni siku tatu ndo tuandikishwe
Analipwa na magufuli na si chama wala ITV make ktk msafara wa magufuli yuko buhohela,maela,Chacha na wapiga picha wawili.john Chacha kachukuliwa na ccm kufanya coverage,Emmanuel buhohela kaitwa na magufuli na Sam mahela naye yuko anatafuta fursa
Mwanadiwani huo ni mtizamo wangu kama ulivyomtizamo wako kusema haijawahi kutokea kama mapokezi ya magufuli ktk maeneo ya chato,geita na katoro wadanganye wasioyafahamu maeneo hayo.kumbuka mwezi Jana mlikuwa na kinana pande hizo mbona mikutano yenu ilipata umati kama huo.yeyote atakaye na aje...
Lembeli hakubaliki Kahama kiasi hicho unachotaka tuamini hata 2010 ilikuwa hati hati kushinda zidi ya mgombea wa Chadema.
Nani anakubalika hapo kahama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.