Lowassa kurejesha fomu kesho

Lowassa kurejesha fomu kesho

Pamoja sana..... Njia ya Ikulu nyeupe kabisa, huku mitaani ni Lowassa tu kila kona, kila chimbo na kila mtaa...
 
Reference available on request . Haijalishi anatokea ccm, chauma, Mtima Nyongo TLP AU nani , ni reference tu Yay
ya kazi. Kama alikwisha wapata huko ccm, swali ni tu kwamba wanakizi vigezo? Yaani ni watanzania ?
 
tangazeni tv zote itv na chaneli ten magazeti ya mwananchi pg ya mbele yeye tu lakini mlifanya hivyo wakakata jina na oct ndivyo watakavyokata jina,shetani awezi kuingia nyumba takatifu,
 
Lowasa wewe ni rais tayar ata usiporudisha fomu mie nakupigia kura kila siku i just can't wait.....
 
Ameshazunguka mikoa yote ?ccm inaenda alipokwenda Komba mwaka huu.
 
Wadau habari.

Leo saa 9 alasiri Mh Edward Lowasa atarudisha fomu ya kuwania kugombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Wapenda mabadiliko wote katika viunga vyote vya Dar es salaam na mikoa ya karibu mnakaribishwa kumsindikiza na kushuhudia kamanda akirudisha fomu.

Zingatia, utajigharamia usafiri,chakula na kama unataka tisheti,kofia na magwanda utanunua kwa pesa yako.

Narudia tena, Hatuna basi wala daladala ya kubeba mtu kila kitu juu yako.
Karibuni wadau wote.

#Goli la mkono mwisho bafuni
 
Wadau habari.

Leo saa 9 alasiri Mh Edward Lowasa atarudisha fomu ya kuwania kugombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Wapenda mabadiliko wote katika viunga vyote vya Dar es salaam na mikoa ya karibu mnakaribishwa kumsindikiza na kushuhudia kamanda akirudisha fomu.

Zingatia, utajigharamia usafiri,chakula na kama unataka tisheti,kofia na magwanda utanunua kwa pesa yako.

Narudia tena, Hatuna basi wala daladala ya kubeba mtu kila kitu juu yako.
Karibuni wadau wote.

#Goli la mkono mwisho bafuni
 
Back
Top Bottom