gimanini
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,741
- 1,754
Kila unapopita sehemu mbalimbali za mji wa Tarime,jina linalotamkwa ni la Mhe.Ester Matiko ambaye ni kipenzi cha wengi,na kila mtu anatarajia kuwa atapitishwa na CHADEMA ili agombee ubunge ktk jimbo la Tarime Mjini,na Iwapo hatachaguliwa wengi wa wananchi wameaapa kutompigia kura yeyote atakaechaguliwa na wajumbe ktk uchaguzi wa trh.23 July.na matokeo yake ni kumpigia kura mgombea yeyote wa CCM.