Ndio maana wewe sio raisi - Jussa kwao si uaharabuni au uarabuni, kwao ni Makunduchi, Zanzibar...labda umrudishe huko, yeye ni mzanzibari halisi na asili yake sio uarabu, familia yake imekuwepo Zanzibar si chini ya generations nne, kama unataka kuwarejesha waarabu kwao basi sijui watu wangapi...