Recent content by nkanga

  1. nkanga

    Huyu Rais kageuka lini jamani!?

    Lakini mzee Makamba alituambia Mjomba aliwabatiza kwa maji ila huyu yeye atawabatiza kwa moto. Acha tunyooshwe tulizoea lelemama. Shida huleta maarifa & we learn through mistakes.
  2. nkanga

    Incubators: Changamoto zake, Jinsi ya kupata ufanisi mzuri na mafanikio zaidi kwenye incubator yako

    Lete najibu ya Honda mkuu. Hizo auto nazenyewe tunaset joto? au zinajiautomatisha kama jina lake?
  3. nkanga

    Njia rahisi ya kutotolesha vifaranga vingi bila kutumia mashine (incubators)

    Sawa kabisa mkuu. Kifaranga wa miezi 2 anauzwa 5000 huku Sengerema. Kama unao 100 ni sawa na 500,000. Aisee kuku wa kienyeji wanalipaaa ishu iko kwenye chakula tu. Ukiwamudu unajikwamua kabisaaa
  4. nkanga

    Natafuta kuku aina ya kuchi

    Ndugu Majaribu. Niko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha mabanda. Nitakuja Mza nipe Cell no yako.
  5. nkanga

    AIBU: Askari Magereza mwenye degree kulipwa Tsh 355,100 sawa na Form Four

    Turudi kwenye maandiko. Maaskari walimuuliza Yesu kuwa Eh bwana na sisi tufanyeje? Wakajibiwa TOSHEKENI NA UJIRA WENU. sio miimi jamani ni maandiko wapendwa.
  6. nkanga

    Natafuta kuku aina ya kuchi

    Ndugu Majaribu Mwanza Sehemu gani.
  7. nkanga

    Natafuta kuku aina ya kuchi

    Habari ndugu zangu. Naitwa Mwl Madnja RF nipo Sengerema. Natafuta kuku aina ya kuchi, wale wasio na manyoya mengi, wenye mdomo mfupi sana. Pia soko lake likoje? Mwenye nao tuwasiliane kwa Whatssap kupitia 0757957925
  8. nkanga

    KWA TCU & WAZIRI WA ELIMU: Udahili wa DIPLOMA kwenda DEGREE

    Mimi binafsi sijapenda hiyo cut point yao ya 3.5 GPA. Nayaona haya kama ni maamuzi kandamizi kwetu sisi watoto wa makabwela. Naomba wizara ifanye utafiti upya. Diploma kuna madaja ya ufaulu km First class,Second na third/pass. Second class imegawanyika makundi mawili Upper & lower second. Upper...
  9. nkanga

    Tukio la Ujambazi lililofanikiwa zaidi, kusisimua na kuushangaza Ulimwengu

    Good story.. Tatizo Mbona unataka kufanya stori hii kuwa series yenye episode wakati stori ni fuuupi. Hebu malizia bwana tukutwange maswali.
  10. nkanga

    Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] Hii nimeipenda sana. Kweli hao vigogo waliowezesha vyeti feki awalambe kwani wakibaki wataendelea tu
Back
Top Bottom