Recent content by njori

  1. N

    AG awaonya TUCTA kujihusisha na siasa

    tatizo TUCTA wanalilia hela za kunywea bia na kuhonga sio maisha magumu!Mgaya kila siku tupo nae kwenye kilaji,amchague Rais atakaye mjaza manoti.kwa ninavyojua mtu yoyote hata umpe hela kiasi gani haridhiki.au nani aseme anaridhika na kiasi gani cha fedha???hakuna!!!!!!!!!!!!!!!
  2. N

    GE2010 Uchaguzi Viti Maalum Chadema Wakwama

    Jatropha umeongea kitu cha msingi sana,embu wajaribu hilo!
  3. N

    GE2010 Uchaguzi Viti Maalum Chadema Wakwama

    Jatropha akili unazo sana!
  4. N

    GE2010 Hivi CHADEMA yupo SLAA na MBOWE tu?

    kila m2 yuko huru kutoa mawazo yake,kwangu niliona Zitto angefaa kuliko Slaa!hata CHADEMA wanajua bac 2 wazee lazima wasikilizwe
  5. N

    GE2010 Hapa Chadema Sijawaelewa...hawajiamini au...?

    wakiweka mgombea watakuwa wanachezea shilingi baharini!
  6. N

    GE2010 Hivi CHADEMA yupo SLAA na MBOWE tu?

    ni wadau tu,siasa zinipitie mbali naziogopa kama ukoma!anzisheni vyama na nyie!
  7. N

    GE2010 Uchaguzi Viti Maalum Chadema Wakwama

    kwakweli ktk hili mmetuaibisha,m/kiti kuingilia uchaguzi wa wanawake si umwachie mkeo bac ashughulikie?lazima uende wewe?tumeamini CHADEMA bila uchaga haiwezekani!
  8. N

    GE2010 Nawalilia Seleli, Lembeli, Kimaro nk

    tatizo wanasiasa waliopevukia uzeeni wanatia aibu ktk nchi hii,unapoamua kuwa mwakilishi wa jimbo fulani hakikisha unatekeleza kwa vitendo mahitaji ya wananchi wako.unapoamua kwenda bungeni na kuingilia bifu za kumkandamiza fulani huku wananchi wako hawana maji safi,barabara...
  9. N

    GE2010 Ya Mpendazoe...

    Kwakweli atahitajika hata kufagiafagia mle bungeni na usafi wa nje anaweza sana,tumemtumia sana wadau wake
  10. N

    GE2010 2010 Kikwete T-shirts?

    we mbogela upo kuzimu kweli! kama kuna mtu hana ubavu wa kujivunia wazazi wake ni bora ungezaliwa na mende tu!
  11. N

    GE2010 Hivi CHADEMA yupo SLAA na MBOWE tu?

    sio mambo ya upeo,kama una upeo ulipashwa kuelezea.nyie ndio mnaodandia trekta kwa mbele
  12. N

    GE2010 Hivi CHADEMA yupo SLAA na MBOWE tu?

    ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu...
  13. N

    GE2010 Serikali yafadhili kampeni za CCM

    Nyambala hama nchi,umelazimishwa kukaa Tanzania.............................?
  14. N

    GE2010 Kumbe hata January anajua babake mropokaji!?

    kila mtu ana udhaifu wake,Watanzania tumezoea kunyooshea wenzetu vidole ingali vingine vinaturudia,ama kweli NYANI HAONI KUNDULE!!!
  15. N

    Mambo ya Zitto Kabwe haya

    watanzania tumejaliwa midomo ya kuchonga hata ukipewa mada itayohusu kunanihii wazazi wako utachonga tu!!!!!!!!!!! tarehe 31 october siku ya kujua mbivu na mbichi!kura ni siri yako
Back
Top Bottom