Elections 2010 Hivi CHADEMA yupo SLAA na MBOWE tu?

typical example of a GREAT SINKER!!!

How dare you say that wakati chadema has been very forefront kwenye kutoa nafasi kwa vijana kujiexpress...
unajua cheo cha zitto wewe kwenye chadema je unaweza kulinganisha na counterparts CCM au KAFU
Unajua nafasi ya Mnyika? unaweza kuweka pamoja na wale pensioners wa KAFU na CCM?
Umeona role ya Kitila chani ya CHADEMA , je nisawa na wale wazee wanaotumia denture pale lumumba??

Njorii... Just an advice, do your homework before you hit the keyboard, otherwise utakua great sinker or stinker,

The Following User Says Thank You to Acid For This Useful Post:

Bigirita (Today)​
 
Hebu wewe kama kijana gombea CCM uwatoe hawa matineja
1.MSEKWA
2.A.ABDALLA
3.KINGUNGE
4.MAKAMBA
5.MALECELA
6.NA KADHALIKA


Huwa hatuongei sana........tuna-recognize vichwa tu!!

The Following User Says Thank You to Safari_ni_Safari For This Useful Post:

Bigirita (Today)​
 
kila m2 yuko huru kutoa mawazo yake,kwangu niliona Zitto angefaa kuliko Slaa!hata CHADEMA wanajua bac 2 wazee lazima wasikilizwe
 
typical example of a GREAT SINKER!!!

How dare you say that wakati chadema has been very forefront kwenye kutoa nafasi kwa vijana kujiexpress...
unajua cheo cha zitto wewe kwenye chadema je unaweza kulinganisha na counterparts CCM au KAFU
Unajua nafasi ya Mnyika? unaweza kuweka pamoja na wale pensioners wa KAFU na CCM?
Umeona role ya Kitila chani ya CHADEMA , je nisawa na wale wazee wanaotumia denture pale lumumba??

Njorii... Just an advice, do your homework before you hit the keyboard, otherwise utakua great sinker or stinker,
understood!haya chukua hiyo:
The Following 2 Users Say Thank You to Acid For This Useful Post:

Bigirita (Today), Teamo (Today)​
 
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!
Wengine ni Rostam, Lowasa, Karamagi, Makamba, Malechela na Mungai
 
kila m2 yuko huru kutoa mawazo yake,kwangu niliona Zitto angefaa kuliko Slaa!hata CHADEMA wanajua bac 2 wazee lazima wasikilizwe

Sidhani kama Zitto amefikia umri wa kikatiba wa kugombea urais nchii hii. Ili ugombee urais nchi hii lazima ufikie umri wa miaka 40. Wazee tayari walishaweka vikwazo kwa hilo tayari.
 
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!

njori; karibu JF ila unanitia mashaka sana, wewe siku zote ulikuwa wapi mpendwa? hadi leo ndiyo uje na maswali yako ya kipuuzi? naomba uwaambie hao waliokutuma kuwa hapa JF sisi sote hapa jamvini tuna akili wala hatutegwi kwa nyasi

njori; sisi huo mjadara tulikwishaufunga tunatazama mbele.

njori; pole sana mkuu tunajua mpo wengi hapa jamvini kutoka huko mliko toka

Mungu ibariki Tanzania Mpya
 
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!

Umetumwa wewe na unaonekana unejisajili juzi ili kuandika matakataka yako hapa..hivi kwa nini msikiache hiki chama jamani...Dr.Slaa hataki kura yako
 
jana nilipokuwa nikisoma gazeti la mwananchi na kukuta makala inayozungumzia mikakati ya chama cha CUF katika uchaguzi huu unaokuja.

katika jambo lililonishangaza ni maneno ya Prof Lipumba kuelezea ni kwa nini upinzani usismamishe mgombea mmoja au yeye kumuunga mkono Dr slaa.

alieleza kwa ufasaha kabisa kuwa ilionekana kuwa vyama vyote vya upinzani vilikusudia kutosimamisha wagombea, kwa maana Mzee MRema alionesha mapema kuwa chama chake kinamuunga mkono mheshimiwa Kikwete na yeye binafsi kutangaza kuwa atawania Ubunge jimbo la vunjo. wakati huo huo mheshimiwa Wa WAPUKI(Mbowe) akitangaza kugombea ubunge kwao huko. na Cheyo hali kadhalika.

sasa wao wakasema haiwezekani JK apite hivi hivi bila ya kugombea na hivyo akatangaza nia mapema tu. ila la kushangaza baada ya kutangaza na kujipanga ndipo akina DR Slaa na wengine wakajitokeza sasa anasema imechelewa sana kujipanga kwa hili.

ila kuhusu ubunge na udiwani wanasema wanaendelea na mazungumzo.


kwa haraka haraka inaonekana CHADEMA ni wabinafsi na wanajiona kuwa wao peke yao wanakubalika na hawahitaji ushirikiano na vyama vyengine.

hawa ndio CHADEMA na rangi zao
 
lipumba ndio mbinafsi kagombea mara tatu zote kashindwa mwambie amwachie slaa kama hawezi aendelee na slaa atawamwaga wote Lipumba na Jeikei wake
 
Inawezekana umefanya haraka kutoa hukumu hiyo kwa CHADEMA. Hebu fuatilia uone wao wanasemaje kuhusu hilo la kuunganisha nguvu na kusimamisha mgombea usraisi mmoja na kisha utujuze wanamtandao.
 
Ndg, naomba kwanza ufuatilie lile suala la muungano wa vyama vya upinzani ulivunjika kwa sababu ipi afu hukumu kwa ujasiri mkubwa kabisa hiyo Chadema!!!
 
jana nilipokuwa nikisoma gazeti la mwananchi na kukuta makala inayozungumzia mikakati ya chama cha CUF katika uchaguzi huu unaokuja.

katika jambo lililonishangaza ni maneno ya Prof Lipumba kuelezea ni kwa nini upinzani usismamishe mgombea mmoja au yeye kumuunga mkono Dr slaa.

alieleza kwa ufasaha kabisa kuwa ilionekana kuwa vyama vyote vya upinzani vilikusudia kutosimamisha wagombea, kwa maana Mzee MRema alionesha mapema kuwa chama chake kinamuunga mkono mheshimiwa Kikwete na yeye binafsi kutangaza kuwa atawania Ubunge jimbo la vunjo. wakati huo huo mheshimiwa Wa WAPUKI(Mbowe) akitangaza kugombea ubunge kwao huko. na Cheyo hali kadhalika.

sasa wao wakasema haiwezekani JK apite hivi hivi bila ya kugombea na hivyo akatangaza nia mapema tu. ila la kushangaza baada ya kutangaza na kujipanga ndipo akina DR Slaa na wengine wakajitokeza sasa anasema imechelewa sana kujipanga kwa hili.

ila kuhusu ubunge na udiwani wanasema wanaendelea na mazungumzo.


kwa haraka haraka inaonekana CHADEMA ni wabinafsi na wanajiona kuwa wao peke yao wanakubalika na hawahitaji ushirikiano na vyama vyengine.

hawa ndio CHADEMA na rangi zao

Kama makubaliano ndio hayo basi Lipumba aachie ngazi kuonesha yeye si mbinafsi!! Kwa nini asiongelee TLP, NCCR mageuzi, DP ambao nao wamesimamisha wagombea wa urais? Chadema wanapanua demokrasia na wigo wa watanzania kuchagua kiongozi!!!! Ili jamaa alikawii kuingiza udini hapa!!!!
 
lipumba ndio mbinafsi kagombea mara tatu zote kashindwa mwambie amwachie slaa kama hawezi aendelee na slaa atawamwaga wote Lipumba na Jeikei wake

Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa Chadema walitamka watamuunga mkono mgombea wa CUF huko zenji.
 
jana nilipokuwa nikisoma gazeti la mwananchi na kukuta makala inayozungumzia mikakati ya chama cha CUF katika uchaguzi huu unaokuja.

katika jambo lililonishangaza ni maneno ya Prof Lipumba kuelezea ni kwa nini upinzani usismamishe mgombea mmoja au yeye kumuunga mkono Dr slaa.


alieleza kwa ufasaha kabisa kuwa ilionekana kuwa vyama vyote vya upinzani vilikusudia kutosimamisha wagombea, kwa maana Mzee MRema alionesha mapema kuwa chama chake kinamuunga mkono mheshimiwa Kikwete na yeye binafsi kutangaza kuwa atawania Ubunge jimbo la vunjo. wakati huo huo mheshimiwa Wa WAPUKI(Mbowe) akitangaza kugombea ubunge kwao huko. na Cheyo hali kadhalika.


sasa wao wakasema haiwezekani JK apite hivi hivi bila ya kugombea na hivyo akatangaza nia mapema tu. ila la kushangaza baada ya kutangaza na kujipanga ndipo akina DR Slaa na wengine wakajitokeza sasa anasema imechelewa sana kujipanga kwa hili.


ila kuhusu ubunge na udiwani wanasema wanaendelea na mazungumzo.



kwa haraka haraka inaonekana CHADEMA ni wabinafsi na wanajiona kuwa wao peke yao wanakubalika na hawahitaji ushirikiano na vyama vyengine.


hawa ndio CHADEMA na rangi zao


Jamani, hivi Watanzania ndo tunaelekea huku??
 
jana nilipokuwa nikisoma gazeti la mwananchi na kukuta makala inayozungumzia mikakati ya chama cha CUF katika uchaguzi huu unaokuja.

katika jambo lililonishangaza ni maneno ya Prof Lipumba kuelezea ni kwa nini upinzani usismamishe mgombea mmoja au yeye kumuunga mkono Dr slaa.

alieleza kwa ufasaha kabisa kuwa ilionekana kuwa vyama vyote vya upinzani vilikusudia kutosimamisha wagombea, kwa maana Mzee MRema alionesha mapema kuwa chama chake kinamuunga mkono mheshimiwa Kikwete na yeye binafsi kutangaza kuwa atawania Ubunge jimbo la vunjo. wakati huo huo mheshimiwa Wa WAPUKI(Mbowe) akitangaza kugombea ubunge kwao huko. na Cheyo hali kadhalika.

sasa wao wakasema haiwezekani JK apite hivi hivi bila ya kugombea na hivyo akatangaza nia mapema tu. ila la kushangaza baada ya kutangaza na kujipanga ndipo akina DR Slaa na wengine wakajitokeza sasa anasema imechelewa sana kujipanga kwa hili.

ila kuhusu ubunge na udiwani wanasema wanaendelea na mazungumzo.


kwa haraka haraka inaonekana CHADEMA ni wabinafsi na wanajiona kuwa wao peke yao wanakubalika na hawahitaji ushirikiano na vyama vyengine.

hawa ndio CHADEMA na rangi zao


Ushauri; Mara nyingine usifanye tena mambo 'kwa haraka haraka', tulia uruhusu akili zako kutumika.
 
Back
Top Bottom