Hivi nyinyi ndugu zetu.. Mtakuwa wajinga mpka lini ??
Hivi mnazani dunia yote wanazikwa kwa kuvhimbiwa kabuli ???
Au kila mtu anasoma hko kitabu chenu... Na mkiambiwa uthibitishe hayo unayoyasema utaweza kweli..??
Mda mwingine ongezen maarifa kwa dini na watu mbali mbali...
Jaribu kutafuta fundi apime hyo single phase yako.. Yaweza kuwa umeme unaokuja hapo ni mdogo sana au mkubwa sana ambayo hyo avs inashindwa ku regulate.. Kwa hyo ili kulinda kifaa chako ina sababisha ku trip..
Na ukiweka online katika power supply ina run labda ni kwa sbbu kifaa chako kinaweza...
Changamoto ya nchi zetu za kiafrica... Kodi nying inatumika katika vitu visivyo vya msingi na ela za mikopo ndio za maendeleo...
Tanzania inabid ipunguze mapato kwa viongozi wa serikali.... Unakuta wastaafu wanalipwa zaidi mili 5 hapo bado gari inajazwa mafuta na dereva juu.. Wakati mstaafu...
Yaan hup ni ukwel... Toka kipind cha corona kule china...
Viongoz wa kiafrica wanakemea ubaguzi wa rangi.. Na kipind hko hko na wao wanabagua watu wao..
Africa bado hatuja staarabika kbsa
Viongozi wengi wa africa hawana utamaduni wa kupenda raia wake.. Hii ndio shida kubwa ya viongozi wengi wa africa....
Mfano mama katoka tanzania kwenda ufaransa kaenda tena belgium.. Baadae karudi tena kakaa siku 3 kaenda dubai.. Safari zote hzo ni ndege..
Lakin ilishindwa kutoa ndege yake...
Na tunaendelea kuwa maskin na kuzaana.. Ukiwaambia watumie uzazi wa mpango.. Wanakeambia Mungu hapendi.... Sasa cjui Mungu wao anapenda watu kuzin ovyo ovyo..
Tunadumaa kwa fikra kwa hizi dini zilizokuja na meli.. Ukikutana wanavyobishana mtaani unaweza zani hao wakina ibrahim ni ndugu zao vile
Wanakuhubiria uwe tajira na majumba ya kutosha.. Baadae wanakuomba ela ya sadaka...
Wanakwambia dini yetu ya haki... Ukiwaambie wathibitshe... Hawana cha kuthibisha..
Wanakwambia kula chakula fulani ni dhambi... Lakin wanazini na kurogana.. Sasa cjui hyo sio dhambi..
Mungu wao kaumba kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.