Huko mlipo bado mnatafuta ukweli na bado hamjaupata ndio maana mnahangaika

FabNXTzqEtcgazfbjjfo

JF-Expert Member
Jan 17, 2019
1,472
1,828
Waafrika wenzangu ni Kitu Gani Cha Kwetu Tunachojivunia?

Hatuna Mungu
Hatuna Teknolojia
Hatuna Afya njema
Hatuna Amani

Halafu bado tunaona na Tunakumbatia Vitu vya Watu Na Tunajua Kwamba Tumepotoshwa ila Bado Tunavikumbatia. Kila Kitu Kinakuja Kwetu tunapokea tu Bila Hata Kutumia Akili Timamu tuliyojaliwa na Mwenye Enzi Mungu tunapokea kwa mikono miwili Kisa Kimeletwa na Mtu kutoka Nje

Mungu mmeletewa na Mkamwacha Mungu wenu wa kweli

1. Mungu mlioletewa anasambaa kwa Injili na mapanga na Vita mkamsahau Mungu wenu aliyekuwa hana Makuu na Nyie

2. Mmewasahau mababu zenu mkakumbatia Mababu wa wengine ambao hata Hamuwajui na Wa Kwenu mkawaita Mizimu ila Wao Watakatifu

3. Mnatembea Vifua Mbele mnatoka Jasho na Maspika juu Mkihubiri Mkamwacha Mungu wa Kweli ambaye alikuwa hana Hayo Mambo

4. Mmeletewa Mambo ambayo hata wao hawayafuati. Wanakuambia tuliagizwa tule mkate na Divai kama Mwili na Damu na Wafanye hivyo hivyo kwa Waumini wao. Ila Ukienda Unakula Mkate unarudi kwenye Benchi lako unaona Sawa tu Na Bora Mambo yaende. Hujiuliza kwamba Hawa Watu wanafanya Mambo ambayo hawajaagizwa kufanya Hivyo

Mnaacha Kujenga Nchi mlizomo ndani Yenu kwa Akili zenu potelea pote itachukua Muda gani Nyie Kuimarika ila Kaaeni mtafute vya Kwenu. Mtafute Mifumo yenu ya Maisha. Mtafute Mifumo yenu ya Afya. Mtafute Mifumo yenu ya Usafiri. Leo hii Mnaanza Kuwalaumu huko kwako wanawatenga

Mtaaachajwe kutengwa kama Hamna cha Kwenu. Unafikiri kwenda kwenye nchi zao watawaacha Wananchi wao wateseke wakuokoe wewe Ambaye Huna cha Kujivunia. Elimu unaifuta Kwao. Elimu ambayo hata Ukiambiwa sasa hivi Jitegemee huwezi kujitegemea sasa Hiyo ni elimu Au. Halafu Bado mnajiuliza Kwanini hamuendelei

Unadhani kuna Mtu mjinga Duniani atakuja Kukupa Elimu ili Uje Umzidi? Hayupo huyo mtu hata Mwalimu tu darasani Hakupi vyote ili ile hali ya Mimi ni Kichwa Iwepo.

Kuna Kiongozi mmoja Hapa Alijitokeza akasema Ni vyema Tukawa na Social media za Kwetu. Watu walivyo wa Hovyo wakaanza Kumpinga Huyo Kiongozi ndio uone Fikra za Kwetu Waafrika tulivyo wa Ajabu

Hizo Social Media Za kwao Wenye Akili Timamu walishazishtukia wakipiga Block katika nchi zao huko. Wewe ambaye bado Watoto wako ni Maskini hawajui hata Ustaarabu ni Nini Unazileta Mbele yao na Wazitumie. Aangalieni Madhara yake sasa hivi

Watu wamekuwa Waraibu wa Mitandaoni. Akili zao zimelala. Watu wanatumia Saa 1 Mpka 5 hajafanya Chochote katika kuleta Matokeo chanya Katika Nchi wanashindwa Katika Social media. Anakuja Kushangaa Umri umeshafika 30+ Hajui amefanya nini maishani mwake zaidi ya Ku tweet.. Post..

Kumbuka Waliofanya Hivi si Walifanya Kwa Bahati mbaya. Eti kuleta Dunia Karibu hapana Wameleta Kwa Malengo yale yale waliyoleta kipindi cha Babu zako. Watoto wako wanashinda Mitandaoni ku post Wao wanapeleka Watoto wao Mashule ili waje Wakutawalie Watoto wako waliokuwa wanashinda Huko Mitandaoni na Kujipost Selfie na Picha za Uchi

Watoto wao wanajifunza Elimu inayoendana na Mazingira halisi Wewe watoto wako bado wanasoma Hadithi za Sungura na Fisi... Saidi na Chitemo.. Abunuwasi na mkewe mtoto wako anasoma Vitu ambayo Vipo Nyuma Miaka 50 iliyopita anasoma Vitabu Ambavyo Baada ya Miaka Miwili vipo OUTDATED na Mambo yameshabadilika

Halafu leo hii unakuja Kuwalaumu oooh walituadaa walitudanganya. Kwani huna Akili Mwafrika wewe huyo anayekuhadaa si ndio Binadamu mwenzako tu kama Wewe. Kwanini Usitumie Akili yako tu Ukajikomboa Mwenyewe.

Unakalia Ooooh Riziki anatoa Mungu. Mungu toka Lini akatoa Riziki. Si Tunajua Pesa zinaprintiwa hapa hapa Duniani ndugu yangu na Wanaoziprint hizo pesa unazoziita Riziki ni Binadamu mwenzako tu mwenye Akili timamu kukuzidi wewe mwenye akili tu. Siku akikunyima na Kukuwekea vikwazo hiyo Riziki yako si ndio kakunyima hivyo

Ila wewe unakomalia Ngoja Tukakeshe Tuombe. Mungu ndio Mtoaji.. Sasa Kama Hapo hapo ulipo Uone kama Atakuletea, wenzetu Wamejitambua Kabla Yetu ndio maana Huwezi kuona Nchi kama china inayumbishwa na Haya Mambo yenu mana Wao wameanza Kujitambua Kwanza Wao ni kina Nani kabla hawajaletea Historia za Wengine huko

Wewe Mwafrika Hujajitambua Kwanza Hujajijua umetokea wapi umeanzia wapi ila Unakubali kupokea Historia za Waisraeli wametokea wapi babu zao ni kina Nani. Wakati ukiulizwa wewe Ukoo wako Umetokea Wapo hujui chochote kile. Ila Ukiulizwa ukoo wa Yesu unaujua. Mbona Kwenu hupajui wewe

Kwanini hata Ukiulizwa watu wa Kwanza Kuja Dar es Salaam waliishi wapi hujui hata Hapo Mtaani kwako kwanini huo mtaa uliitwa hivyo hujui ila Historia za Wengine ambao hata Hamjui walitokea Wapi mkazipokea.

Tafuteni vya Kwenu kwanza vilivyopotea Ndipo mtajua Mengine yametokea wapi. Watu wanawahusudu malaika wakiwaona ni wema mpaka sasa hivi wanawaona malaika kama ni Viumbe wema sana wakati wao wenyewe hawajijui wanajifanya Kuwajua Malaika kuliko wao walivyo. Eti mie si malaika nakosea mimi ni Binadamu kwani hujui kwamba Kuna Malaika waovu wewe. Hujui kuna Malaika wabaya tu kama Wewe ulivyo

Jijiueni kwanza nyie Mlivyo ndipo Muanze kutafuta Historia za Viumbe wengine. Jijiueni na Fanyeni kwanza ya Kwenye na Mmtafute Mungu wa Kweli mwenye Vyote kabla hamjaanza kutafuta Viumbe msiowafahamu

Afrika kulikuwa na Imani kwa Mungu hakukuwa na Mahubiri, eti tunamhubiri Mungu. Wewe Mungu umhubiri ili iweje Yaani Yeye Akutume wewe ukamuhubiri kwa Watu aliowaumba Yeye mwenyewe.

Hivi haujawahi kujiuliza Hao waliozaliwa kabla ya Haya Mahubiri Waliumbwa na Nani!? Mahubiri haya yamekuja Juzi juzi tu hapa Hayana hata Miaka 1000 toka Uyajue ila Wewe ndio unajiona Unajua Mungu Kuliko Binadamu wengine wote waliopata Kuishi. Mmedanganywa na ma historia ya Watu huko Hamjui hata Kwanini Walipigana.. Hamjui mikataba walioingia Huko mnakuja Kutetea Kwa Nguvu zote vitu msivyovijua

Ndio maana Mkikaa na Watu wenye Akili timamu mnawaambiwa wanakufuru Mungu. Si kwamba Wanakufuru. Nyie ndio hamna Majibu Yenye Utu na Ukweli ndani Yenu ndio maana Mkipigwa Maswali makosa Majibu

Mnakomalia Vitabu vyetu vina Kila Kitu vimekamilika. Mbona Kuna Wayahudi humo, Waroma wamesimuliwa. Waefeso na Waarabu n. K wewe Mmakonde na Mhehe na Mchaga na Muha upo Wapi humo mbona hatukuoni mbona Historia za Koo za Wayahudi zimo humo mbona Wewe haupo na Koo zako au Nyie Si Viumbe wa Mungu

Waafrika Tuamke Kutoka Usingizi Tumepotoshwa Sana. Mungu wa Kweli lazima Alete umoja Wa Watu si Utengano wa Watu. Maendeleo ya Kweli yanatoka Kwa Mtu husika si Kutoka kwa Watu wengine na Tamaduni zao huko

ASANTENI
 
Mkuu ungekuwa mtaani kwangu ningekuwa nakuita unisaidie kuwatoa tongo tongo watu weusi kama mimi. Ujinga ni mkubwa sana na umeota mizizi na shina lake ni bora mbuyu kuling'oa ni kazi.
Bwana OYOSHO alipata waambia wahindi kuwa wengi wao ni wajinga na wasiotumia akili na kazi yao ni kufuata tu kila walichombiwa bila kuhoji. Nadhani kauli hii inawahusu hata waafrika. Kazi ni kufuata tu upepo wa wazungi na warabu na sasa wachina.
TZ Zimejaa Bogus kila kona. Wazungu wanapigana kuna bogus zinataka kutuaminisha eti vita ya 3 ya dunia,mzungu akisema vita ya 3 ya dunia hata kama Africa,Arab, China, nk hazipo vitani tukubali na kufindisha sheleni huo ujinga, hapo ndio utaona ujuha wa mwafrika.
 
Kuhusu pesa nakuunga mkono.
Tunuomba mungu makaratasi yalioundwa na wajanja wachache na kuhalalishwa matumizi. Pesa mi makaratasi, kemikali, miti,madini nk vitu ambavyo mungu aliviumba vipo tu ardhini.
Mfumo huu wa maisha wala sio halisi bali umetungwa na wajanja wachache wawatawale wengine.
Hivyo hata kazi zimeundwa na wajanja wawaendeshe wengine.
 
Wanakuhubiria uwe tajira na majumba ya kutosha.. Baadae wanakuomba ela ya sadaka...

Wanakwambia dini yetu ya haki... Ukiwaambie wathibitshe... Hawana cha kuthibisha..

Wanakwambia kula chakula fulani ni dhambi... Lakin wanazini na kurogana.. Sasa cjui hyo sio dhambi..

Mungu wao kaumba kila kitu... Ila Lakin wao ndio wa kwanza kuwabagua watu walioumbwa na Mungu wao..

Africa ni muda wa kuamka.. Dini hzi zinaendelea kutulemaza na tunaanza kubaguana huku wenzetu wanapiga hatua
 
Kuhusu pesa nakuunga mkono.
Tunuomba mungu makaratasi yalioundwa na wajanja wachache na kuhalalishwa matumizi. Pesa mi makaratasi, kemikali, miti,madini nk vitu ambavyo mungu aliviumba vipo tu ardhini.
Mfumo huu wa maisha wala sio halisi bali umetungwa na wajanja wachache wawatawale wengine.
Hivyo hata kazi zimeundwa na wajanja wawaendeshe wengine.
Pia elimu ya mkoloni imefubaza innovation ya mtu mweusi wengi wamekuwa nyapara wa mkoloni,mweupe au mweusi.
 
Mungu ^haletwi^ my friend! Yeye yupo kila mahali. Angalia ulipojikwalia, siyo ulipoangukia!
Tatizo Waafrika wengi hatujitambui Ndugu yangu. Hata Wewe Unaposema Mungu yupo Mahali popote unakuwa Umekariri tu huo Msemo

Mungu Yupo alipo na Wewe upo Ulipo. Unaposema Mungu yupo Mahali popote Hata Mfukoni mwako yupo. Chooni Yupo...Ukiingia Ghetto kwako Yupo.. Kwa Washenzi na Malaya wanapojiuza pia Yupo

Ni kati ya Msemo wa Kishenzi sana Uliozoeleka ndugu yangu. Ni sawa na Neno Mkuu ambalo Linatumika Pale mtu anapomuita Mtu

Mkuu ni Mungu Pekee
 
Umeeandika mengi ila mimi machache tu ya kuongeza. Kwa nini elimu yetu hadi leo tunaendelea kusoma vita za dunia, sijui mfecane war, wa kina shakazulu ambayo havisaidii chochote kwenye ulimwengu huu tubadirike
Kwanza Vitu kama hivyo Vinatakiwa Visisomwe darasani bali usimuliwe tu au Ununue Kitabu Maktaba usome tu havina Haja ya Wewe kukaa Darasani kuvisoma maana si Elimu hiyo. Elimu haiwezi kupatikana Kirahisi hivyo Elimu ni Jambo kubwa sana na La Kificho sana ndio maana Formula nyingi za Kutengeneza Mabomu na Hata Fomula ya Kutengeneza Coca-Cola leo hii Mtu wa Kawaida hawezi Ijua ni kitu kilicho fichwa

Sasa Unaposoma Historia ya Vita wakati Muda wowote unaweza Kuipata hata Millard Ayo anaweza Kuipost tu hiyo si Elimu bali masimulizi tu hata Ukifikisha Miaka 50 unaweza kupata. Watu wengi walishuhudia mambo hayo yakitokea kwahiyo Unaweza Kusimulia tu Ndugu yangu
 
Mkuu ungekuwa mtaani kwangu ningekuwa nakuita unisaidie kuwatoa tongo tongo watu weusi kama mimi. Ujinga ni mkubwa sana na umeota mizizi na shina lake ni bora mbuyu kuling'oa ni kazi.
Bwana OYOSHO alipata waambia wahindi kuwa wengi wao ni wajinga na wasiotumia akili na kazi yao ni kufuata tu kila walichombiwa bila kuhoji. Nadhani kauli hii inawahusu hata waafrika. Kazi ni kufuata tu upepo wa wazungi na warabu na sasa wachina.
TZ Zimejaa Bogus kila kona. Wazungu wanapigana kuna bogus zinataka kutuaminisha eti vita ya 3 ya dunia,mzungu akisema vita ya 3 ya dunia hata kama Africa,Arab, China, nk hazipo vitani tukubali na kufindisha sheleni huo ujinga, hapo ndio utaona ujuha wa mwafrika.
Hao wengine washajitambua ni kina Nani na Wanataka Nini. Mwafrika ameshaaminishwa mambo mengi sana ya Hovyo na Yasiyoingia Akilini

Yaani Mtu kaishi Afrika miaka zaidi ya 5000 yupo halafu Kitabu Kinakuja Kina mwambia Kulitokea Sodoma na Gomora Mungu akaadhibu Dunia Nzima kwa Moto na Gharika

Sasa Jiulize Hapo kwa Akili tu. Kitabu kinachomwambia Hivyo kimekuja kwake miaka ya 70s ndio kakishika MA babu zake na Mabibi zake hawajawahi hata Kujua Kuna Sodoma na Gomora wala Gharika

Halafu Yeye anaamini Hivyo kisa Kaambiwa na Kitabu kilichoandikwa Juzi tu hapa na Watu
 
Pia elimu ya mkoloni imefubaza innovation ya mtu mweusi wengi wamekuwa nyapara wa mkoloni,mweupe au mweusi.
Walikuta Waafrika wana maandishi yao na Mahesabu yao

A-A
B-be
C-Che
D-De

Moja ilikuwa ni MOSI
Mbili ilikuwa ni KHABIRI
Tatu ilikuwa ni BHITATU
Nne ilikuwa ni YINE
.
.
. Tisa ilikuwa ni KENDA
Kumi ilikuwa ni CHUMI

Sasa Wakaweka Ya Kwako ndio sasa Mnayasoma na Elimu yetu na Tamaduni zetu zikaitwa za Kipumbavu na Kichawi. Wakaweka mifumo yao ya Kisiasa ambazo leo hii mafisadi wamekuwa wengi wanaiba Wananchi mali zao. Zamani huwezi kuwa kiongozi ukaibia watu usichanganyikiwe au ukoo wako ukaharibikiwa
 
Waafrika wenzangu ni Kitu Gani Cha Kwetu Tunachojivunia?

Hatuna Mungu
Hatuna Teknolojia
Hatuna Afya njema
Hatuna Amani

Halafu bado tunaona na Tunakumbatia Vitu vya Watu Na Tunajua Kwamba Tumepotoshwa ila Bado Tunavikumbatia. Kila Kitu Kinakuja Kwetu tunapokea tu Bila Hata Kutumia Akili Timamu tuliyojaliwa na Mwenye Enzi Mungu tunapokea kwa mikono miwili Kisa Kimeletwa na Mtu kutoka Nje

Mungu mmeletewa na Mkamwacha Mungu wenu wa kweli

1. Mungu mlioletewa anasambaa kwa Injili na mapanga na Vita mkamsahau Mungu wenu aliyekuwa hana Makuu na Nyie

2. Mmewasahau mababu zenu mkakumbatia Mababu wa wengine ambao hata Hamuwajui na Wa Kwenu mkawaita Mizimu ila Wao Watakatifu

3. Mnatembea Vifua Mbele mnatoka Jasho na Maspika juu Mkihubiri Mkamwacha Mungu wa Kweli ambaye alikuwa hana Hayo Mambo

4. Mmeletewa Mambo ambayo hata wao hawayafuati. Wanakuambia tuliagizwa tule mkate na Divai kama Mwili na Damu na Wafanye hivyo hivyo kwa Waumini wao. Ila Ukienda Unakula Mkate unarudi kwenye Benchi lako unaona Sawa tu Na Bora Mambo yaende. Hujiuliza kwamba Hawa Watu wanafanya Mambo ambayo hawajaagizwa kufanya Hivyo

Mnaacha Kujenga Nchi mlizomo ndani Yenu kwa Akili zenu potelea pote itachukua Muda gani Nyie Kuimarika ila Kaaeni mtafute vya Kwenu. Mtafute Mifumo yenu ya Maisha. Mtafute Mifumo yenu ya Afya. Mtafute Mifumo yenu ya Usafiri. Leo hii Mnaanza Kuwalaumu huko kwako wanawatenga

Mtaaachajwe kutengwa kama Hamna cha Kwenu. Unafikiri kwenda kwenye nchi zao watawaacha Wananchi wao wateseke wakuokoe wewe Ambaye Huna cha Kujivunia. Elimu unaifuta Kwao. Elimu ambayo hata Ukiambiwa sasa hivi Jitegemee huwezi kujitegemea sasa Hiyo ni elimu Au. Halafu Bado mnajiuliza Kwanini hamuendelei

Unadhani kuna Mtu mjinga Duniani atakuja Kukupa Elimu ili Uje Umzidi? Hayupo huyo mtu hata Mwalimu tu darasani Hakupi vyote ili ile hali ya Mimi ni Kichwa Iwepo.

Kuna Kiongozi mmoja Hapa Alijitokeza akasema Ni vyema Tukawa na Social media za Kwetu. Watu walivyo wa Hovyo wakaanza Kumpinga Huyo Kiongozi ndio uone Fikra za Kwetu Waafrika tulivyo wa Ajabu

Hizo Social Media Za kwao Wenye Akili Timamu walishazishtukia wakipiga Block katika nchi zao huko. Wewe ambaye bado Watoto wako ni Maskini hawajui hata Ustaarabu ni Nini Unazileta Mbele yao na Wazitumie. Aangalieni Madhara yake sasa hivi

Watu wamekuwa Waraibu wa Mitandaoni. Akili zao zimelala. Watu wanatumia Saa 1 Mpka 5 hajafanya Chochote katika kuleta Matokeo chanya Katika Nchi wanashindwa Katika Social media. Anakuja Kushangaa Umri umeshafika 30+ Hajui amefanya nini maishani mwake zaidi ya Ku tweet.. Post..

Kumbuka Waliofanya Hivi si Walifanya Kwa Bahati mbaya. Eti kuleta Dunia Karibu hapana Wameleta Kwa Malengo yale yale waliyoleta kipindi cha Babu zako. Watoto wako wanashinda Mitandaoni ku post Wao wanapeleka Watoto wao Mashule ili waje Wakutawalie Watoto wako waliokuwa wanashinda Huko Mitandaoni na Kujipost Selfie na Picha za Uchi

Watoto wao wanajifunza Elimu inayoendana na Mazingira halisi Wewe watoto wako bado wanasoma Hadithi za Sungura na Fisi... Saidi na Chitemo.. Abunuwasi na mkewe mtoto wako anasoma Vitu ambayo Vipo Nyuma Miaka 50 iliyopita anasoma Vitabu Ambavyo Baada ya Miaka Miwili vipo OUTDATED na Mambo yameshabadilika

Halafu leo hii unakuja Kuwalaumu oooh walituadaa walitudanganya. Kwani huna Akili Mwafrika wewe huyo anayekuhadaa si ndio Binadamu mwenzako tu kama Wewe. Kwanini Usitumie Akili yako tu Ukajikomboa Mwenyewe.

Unakalia Ooooh Riziki anatoa Mungu. Mungu toka Lini akatoa Riziki. Si Tunajua Pesa zinaprintiwa hapa hapa Duniani ndugu yangu na Wanaoziprint hizo pesa unazoziita Riziki ni Binadamu mwenzako tu mwenye Akili timamu kukuzidi wewe mwenye akili tu. Siku akikunyima na Kukuwekea vikwazo hiyo Riziki yako si ndio kakunyima hivyo

Ila wewe unakomalia Ngoja Tukakeshe Tuombe. Mungu ndio Mtoaji.. Sasa Kama Hapo hapo ulipo Uone kama Atakuletea, wenzetu Wamejitambua Kabla Yetu ndio maana Huwezi kuona Nchi kama china inayumbishwa na Haya Mambo yenu mana Wao wameanza Kujitambua Kwanza Wao ni kina Nani kabla hawajaletea Historia za Wengine huko

Wewe Mwafrika Hujajitambua Kwanza Hujajijua umetokea wapi umeanzia wapi ila Unakubali kupokea Historia za Waisraeli wametokea wapi babu zao ni kina Nani. Wakati ukiulizwa wewe Ukoo wako Umetokea Wapo hujui chochote kile. Ila Ukiulizwa ukoo wa Yesu unaujua. Mbona Kwenu hupajui wewe

Kwanini hata Ukiulizwa watu wa Kwanza Kuja Dar es Salaam waliishi wapi hujui hata Hapo Mtaani kwako kwanini huo mtaa uliitwa hivyo hujui ila Historia za Wengine ambao hata Hamjui walitokea Wapi mkazipokea.

Tafuteni vya Kwenu kwanza vilivyopotea Ndipo mtajua Mengine yametokea wapi. Watu wanawahusudu malaika wakiwaona ni wema mpaka sasa hivi wanawaona malaika kama ni Viumbe wema sana wakati wao wenyewe hawajijui wanajifanya Kuwajua Malaika kuliko wao walivyo. Eti mie si malaika nakosea mimi ni Binadamu kwani hujui kwamba Kuna Malaika waovu wewe. Hujui kuna Malaika wabaya tu kama Wewe ulivyo

Jijiueni kwanza nyie Mlivyo ndipo Muanze kutafuta Historia za Viumbe wengine. Jijiueni na Fanyeni kwanza ya Kwenye na Mmtafute Mungu wa Kweli mwenye Vyote kabla hamjaanza kutafuta Viumbe msiowafahamu

Afrika kulikuwa na Imani kwa Mungu hakukuwa na Mahubiri, eti tunamhubiri Mungu. Wewe Mungu umhubiri ili iweje Yaani Yeye Akutume wewe ukamuhubiri kwa Watu aliowaumba Yeye mwenyewe.

Hivi haujawahi kujiuliza Hao waliozaliwa kabla ya Haya Mahubiri Waliumbwa na Nani!? Mahubiri haya yamekuja Juzi juzi tu hapa Hayana hata Miaka 1000 toka Uyajue ila Wewe ndio unajiona Unajua Mungu Kuliko Binadamu wengine wote waliopata Kuishi. Mmedanganywa na ma historia ya Watu huko Hamjui hata Kwanini Walipigana.. Hamjui mikataba walioingia Huko mnakuja Kutetea Kwa Nguvu zote vitu msivyovijua

Ndio maana Mkikaa na Watu wenye Akili timamu mnawaambiwa wanakufuru Mungu. Si kwamba Wanakufuru. Nyie ndio hamna Majibu Yenye Utu na Ukweli ndani Yenu ndio maana Mkipigwa Maswali makosa Majibu

Mnakomalia Vitabu vyetu vina Kila Kitu vimekamilika. Mbona Kuna Wayahudi humo, Waroma wamesimuliwa. Waefeso na Waarabu n. K wewe Mmakonde na Mhehe na Mchaga na Muha upo Wapi humo mbona hatukuoni mbona Historia za Koo za Wayahudi zimo humo mbona Wewe haupo na Koo zako au Nyie Si Viumbe wa Mungu

Waafrika Tuamke Kutoka Usingizi Tumepotoshwa Sana. Mungu wa Kweli lazima Alete umoja Wa Watu si Utengano wa Watu. Maendeleo ya Kweli yanatoka Kwa Mtu husika si Kutoka kwa Watu wengine na Tamaduni zao huko

ASANTENI
Mizimu ya mababu wangu ikubariki na huo wimbo hapo japo mwishoni mwimbaji alihasi
 
Aisee umeandika kwa uchungu sana na kuwaonea huruma WaAfrika wenzako ni darasa zuri sana....

Makaburu. wakiuona huu uzi watakutafuta baki kuwa Anonymous
 
Kuhusu pesa nakuunga mkono.
Tunuomba mungu makaratasi yalioundwa na wajanja wachache na kuhalalishwa matumizi. Pesa mi makaratasi, kemikali, miti,madini nk vitu ambavyo mungu aliviumba vipo tu ardhini.
Mfumo huu wa maisha wala sio halisi bali umetungwa na wajanja wachache wawatawale wengine.
Hivyo hata kazi zimeundwa na wajanja wawaendeshe wengine.
Ya Mungu mpe Mungu ya Kaisari muachie Kaisari
 
Wanakuhubiria uwe tajira na majumba ya kutosha.. Baadae wanakuomba ela ya sadaka...

Wanakwambia dini yetu ya haki... Ukiwaambie wathibitshe... Hawana cha kuthibisha..

Wanakwambia kula chakula fulani ni dhambi... Lakin wanazini na kurogana.. Sasa cjui hyo sio dhambi..

Mungu wao kaumba kila kitu... Ila Lakin wao ndio wa kwanza kuwabagua watu walioumbwa na Mungu wao..

Africa ni muda wa kuamka.. Dini hzi zinaendelea kutulemaza na tunaanza kubaguana huku wenzetu wanapiga hatua
Mpaka tulipofikia hatuwezi kuamka, Ukitaka kuwaamsha watu wanakunyongelea mbali
 
Mizimu ya mababu wangu ikubariki na huo wimbo hapo japo mwishoni mwimbaji alihasi
View attachment 2135017


الحمد الله: وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?


الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا وَمَاتُوا وَهُمْ كُفَّارٌ أُولَٰئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ اللَّهِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالنَّاسِ أَجْمَعِينَ
Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.


الحمد الله: خَالِدِينَ فِيهَا ۖ لَا يُخَفَّفُ عَنْهُمُ الْعَذَابُ وَلَا هُمْ يُنْظَرُونَ
Watadumu humo. Hawata-punguziwa adhabu wala hawatapewa muda wa kupumzika.


الحمد الله: وَإِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَٰنُ الرَّحِيمُ
Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.


الحمد الله: إِلَّا الَّذِينَ تَابُوا وَأَصْلَحُوا وَبَيَّنُوا فَأُولَٰئِكَ أَتُوبُ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنَا التَّوَّابُ الرَّحِيمُ
Ila wale walio tubu na wakatengeneza na wakabainisha, basi hao nitapokea toba yao, na Mimi ni Mwenye kupokea toba na Mwenye kurehemu.


الحمد الله: وَمَثَلُ الَّذِينَ كَفَرُوا كَمَثَلِ الَّذِي يَنْعِقُ بِمَا لَا يَسْمَعُ إِلَّا دُعَاءً وَنِدَاءً ۚ صُمٌّ بُكْمٌ عُمْيٌ فَهُمْ لَا يَعْقِلُونَ
Na mfano wa walio kufuru ni kama mfano wa anaye mpigia kelele asiye sikia ila wito na sauti tu -- ni viziwi, mabubu, vipofu, kwa hivyo hawaelewi.
 
Na tunaendelea kuwa maskin na kuzaana.. Ukiwaambia watumie uzazi wa mpango.. Wanakeambia Mungu hapendi.... Sasa cjui Mungu wao anapenda watu kuzin ovyo ovyo..

Tunadumaa kwa fikra kwa hizi dini zilizokuja na meli.. Ukikutana wanavyobishana mtaani unaweza zani hao wakina ibrahim ni ndugu zao vile

Mpaka tulipofikia hatuwezi kuamka, Ukitaka kuwaamsha watu wanakunyongelea mbali
 
Waafrika wenzangu ni Kitu Gani Cha Kwetu Tunachojivunia?

Hatuna Mungu
Hatuna Teknolojia
Hatuna Afya njema
Hatuna Amani


إِنَّ الدِّينَ عِنْدَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.


فَإِنْ حَاجُّوكَ فَقُلْ أَسْلَمْتُ وَجْهِيَ لِلَّهِ وَمَنِ اتَّبَعَنِ ۗ وَقُلْ لِلَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْأُمِّيِّينَ أَأَسْلَمْتُمْ ۚ فَإِنْ أَسْلَمُوا فَقَدِ اهْتَدَوْا ۖ وَإِنْ تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِالْعِبَادِ
Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio nifuata. Na waambie walio pewa Kitabu na wasio na kisomo: Je! Mmesilimu? Wakisilimu basi wameongoka. Na wakikengeuka basi juu yako ni kufikisha ujumbe tu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake.


إِنَّ الَّذِينَ يَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَيَقْتُلُونَ النَّبِيِّينَ بِغَيْرِ حَقٍّ وَيَقْتُلُونَ الَّذِينَ يَأْمُرُونَ بِالْقِسْطِ مِنَ النَّاسِ فَبَشِّرْهُمْ بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao Haki wabashirie adhabu kali.


أُولَٰئِكَ الَّذِينَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ وَمَا لَهُمْ مِنْ نَاصِرِينَ
Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru.


أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُوا نَصِيبًا مِنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَىٰ كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّىٰ فَرِيقٌ مِنْهُمْ وَهُمْ مُعْرِضُونَ
Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.


ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمْ قَالُوا لَنْ تَمَسَّنَا النَّارُ إِلَّا أَيَّامًا مَعْدُودَاتٍ ۖ وَغَرَّهُمْ فِي دِينِهِمْ مَا كَانُوا يَفْتَرُونَ
Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua.


فَكَيْفَ إِذَا جَمَعْنَاهُمْ لِيَوْمٍ لَا رَيْبَ فِيهِ وَوُفِّيَتْ كُلُّ نَفْسٍ مَا كَسَبَتْ وَهُمْ لَا يُظْلَمُونَ
Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma, bila ya kudhulumiwa.
 
Thibisha.... Kama dini ya kweli ni uislam.. Bila kutumia Quran...

إِنَّ الدِّينَ عِنْدَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.


فَإِنْ حَاجُّوكَ فَقُلْ أَسْلَمْتُ وَجْهِيَ لِلَّهِ وَمَنِ اتَّبَعَنِ ۗ وَقُلْ لِلَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْأُمِّيِّينَ أَأَسْلَمْتُمْ ۚ فَإِنْ أَسْلَمُوا فَقَدِ اهْتَدَوْا ۖ وَإِنْ تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ ۗ وَاللَّهُ بَصِيرٌ بِالْعِبَادِ
Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio nifuata. Na waambie walio pewa Kitabu na wasio na kisomo: Je! Mmesilimu? Wakisilimu basi wameongoka. Na wakikengeuka basi juu yako ni kufikisha ujumbe tu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake.


إِنَّ الَّذِينَ يَكْفُرُونَ بِآيَاتِ اللَّهِ وَيَقْتُلُونَ النَّبِيِّينَ بِغَيْرِ حَقٍّ وَيَقْتُلُونَ الَّذِينَ يَأْمُرُونَ بِالْقِسْطِ مِنَ النَّاسِ فَبَشِّرْهُمْ بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Hakika wanao zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasipo haki, na wakawauwa watu waamrishao Haki wabashirie adhabu kali.


أُولَٰئِكَ الَّذِينَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ وَمَا لَهُمْ مِنْ نَاصِرِينَ
Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru.


أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُوا نَصِيبًا مِنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَىٰ كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّىٰ فَرِيقٌ مِنْهُمْ وَهُمْ مُعْرِضُونَ
Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.


ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمْ قَالُوا لَنْ تَمَسَّنَا النَّارُ إِلَّا أَيَّامًا مَعْدُودَاتٍ ۖ وَغَرَّهُمْ فِي دِينِهِمْ مَا كَانُوا يَفْتَرُونَ
Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipo kuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyo kuwa wakiyazua.


فَكَيْفَ إِذَا جَمَعْنَاهُمْ لِيَوْمٍ لَا رَيْبَ فِيهِ وَوُفِّيَتْ كُلُّ نَفْسٍ مَا كَسَبَتْ وَهُمْ لَا يُظْلَمُونَ
Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama ilivyo chuma, bila ya kudhulumiwa.
 
Back
Top Bottom